80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

Nahisi kuna chuo kinafundisha hii kozi ya kuomba omba au wana vipaji tu vyakuzaliwa?
hiiiii bha ghoshaaaa
Kwani Polepole anafundisha chuo Cha uongozi wa Nini mbona sielewi au Ndio mwalimu wa haya maswala?

Apigwe chakubanga anayewarecture huu upimbi
Shabbhash!
😁😁😁😁🔥🔥🔥
 
Lol ur funny my dear
wanawake unaowaita wa vijijini most ndo wanazibeba familia most ndo huficha kutowajibika kwa bab zetu hawa wapumzishe wapo shamba kwanza 🙏🏽


The kind of love that is truly romantic is that love which is developed during the course of a life together with someone whom you have worked hard with toward the lasting life …..

Also a succesful relationship is a status that two people worked hard at building together na sio kulalana tu so naona weww na mtoa mada ni wale mnao date for funny if so hii mada ni meaningless!!
Its a matter for discussion. Honestly, i don't understand most of the things dada zetu mnazotufanyia financially. It is as if you are not financially conscious or a deliberate and calculated move to make us broke. Ni mizinga tu 24/7 and 365 days non stop
 
Umekamatika ndio upige mzinga heavy?.Nature ya mwanamke ni mbinafsi upande wa hela yake na ndio maana ndani ya nyumba mke akiwa na 1milion, mume akiwa na laki tatu, hiyo nyumba jumla ina laki tatu.

Nina mifano mingi, ila huu mmoja wa juzi wa jamaa yangu dereva wa bajaj. Siku hiyo alichelewa kuamka sababu jana yake alifanya kazi nyingi, sasa asubuhi mkewe alienda gengeni. Jamaa kuamka alikuwa anaitafuta simu yake, katafuta wee baadae akawa anatafuta kwa kubahatisha, si akajaribu kuangalia upande wa kabati zinapokaa nguo za mkewe, pekua pekua akaziona milioni moja na laki nne. Jamaa mpaka alichoka, mkewe kurudi gengeni anamuomba mia tano ya Pampas, jamaa akamchana live kuhusu zile milioni 1.4,kumbe baba yao miezi miwili iliyopita aliuza eneo maeneo ya Kibaha baadae akaamua kuwapa watoto wake 1.5m na hapo hela ya matumizi kila kitu anaacha jamaa.

Sasa just imagine una 1.4m ila bado unamuomba 500 ya pampas mume wake ambaye kazi yake kuendesha bajaj tena ya mtoto aliye mzaa.

Mwanamke anaweza akawa ana hela mtoto anaumwa baada kumpeleka hospitalini, anampigia simu mme wake, mme wake anamwambia basi tumia akiba yako nikija nitalipa, bahati mbaya huko alipo enda mambo hayajawa vizuri. Sasa siku karudi mke anakumbushia kuhusu hela ya matibabu ya mtoto, mumewe anamwambia kwa sasa mambo si mazuri, utapewa mineno mixer kununiwa utazani labda mtoto ulizaa ww peke yako.

Bado kuna wale wanafunguliwa biashara na waume zao msingi ukikata mmewe anamuongezea, sasa siku au msimu hela kidogo inakuwa ngumu, mume anamwambia mkewe basi tumia faida yako kununua unga wa mwezi huu, mimi sasa hivi mambo hayapo vizuri,baada muda fulani lazima ataikumbushia hiyo na ataidai na hapo bado msingi ukikata anaomba umuongezee hela.

Dada nyinyi (95%) ni wabinafsi hajalishi mna kazi au hamna.Mimi katika maisha yangu siipigii hesabu hela ya mke wangu sababu ina masimango na maneno mengi.
Rejea thread ya ROBERT HERIEL
"USIMUONEE HURUMA MWANAMKE"

Malizia na thread ya Liverpool VPN
"WANAUME ACHENI KUOA,MTAKUFA MAPEMA NA KUZIKA NDOTO ZENU,HAWA WANAWAKE SIYO WATU,MNAJUA WALIONGEA NINI NA SHETANI??[emoji13]
 
Umekamatika ndio upige mzinga heavy?.Nature ya mwanamke ni mbinafsi upande wa hela yake na ndio maana ndani ya nyumba mke akiwa na 1milion, mume akiwa na laki tatu, hiyo nyumba jumla ina laki tatu.

Nina mifano mingi, ila huu mmoja wa juzi wa jamaa yangu dereva wa bajaj. Siku hiyo alichelewa kuamka sababu jana yake alifanya kazi nyingi, sasa asubuhi mkewe alienda gengeni. Jamaa kuamka alikuwa anaitafuta simu yake, katafuta wee baadae akawa anatafuta kwa kubahatisha, si akajaribu kuangalia upande wa kabati zinapokaa nguo za mkewe, pekua pekua akaziona milioni moja na laki nne. Jamaa mpaka alichoka, mkewe kurudi gengeni anamuomba mia tano ya Pampas, jamaa akamchana live kuhusu zile milioni 1.4,kumbe baba yao miezi miwili iliyopita aliuza eneo maeneo ya Kibaha baadae akaamua kuwapa watoto wake 1.5m na hapo hela ya matumizi kila kitu anaacha jamaa.

Sasa just imagine una 1.4m ila bado unamuomba 500 ya pampas mume wake ambaye kazi yake kuendesha bajaj tena ya mtoto aliye mzaa.

Mwanamke anaweza akawa ana hela mtoto anaumwa baada kumpeleka hospitalini, anampigia simu mme wake, mme wake anamwambia basi tumia akiba yako nikija nitalipa, bahati mbaya huko alipo enda mambo hayajawa vizuri. Sasa siku karudi mke anakumbushia kuhusu hela ya matibabu ya mtoto, mumewe anamwambia kwa sasa mambo si mazuri, utapewa mineno mixer kununiwa utazani labda mtoto ulizaa ww peke yako.

Bado kuna wale wanafunguliwa biashara na waume zao msingi ukikata mmewe anamuongezea, sasa siku au msimu hela kidogo inakuwa ngumu, mume anamwambia mkewe basi tumia faida yako kununua unga wa mwezi huu, mimi sasa hivi mambo hayapo vizuri,baada muda fulani lazima ataikumbushia hiyo na ataidai na hapo bado msingi ukikata anaomba umuongezee hela.

Dada nyinyi (95%) ni wabinafsi hajalishi mna kazi au hamna.Mimi katika maisha yangu siipigii hesabu hela ya mke wangu sababu ina masimango na maneno mengi.
very painful experience, alafu huyo mwanamke anataka umpende, yaani hapo mimi naanza kuchepuka
 
Kwa ushauri tu na experience nilizonazo
Mtoto anapokuwa anakuomba kila kitu hapo ndio tatizo linapoanzia yaani tangu kwa mzazi

Mzazi usisubiri mtoto akuombe kwani yeye bado ni tegemezi kwako
Mnunulie mahitaji yake bila shuruti
Mpe hata pipi kabla hajakuomba au mnunulie toy ya jero kabla hajakuomba

Hapo unamlea akijua vitu haviombwi bali unapewa
Ila kuna wazazi mpaka aombwe na mama eti baba fulani mnunulie viatu mwanao na wewe uko hapo

Wewe unaona mwanao anahitaji viatu kwanini usubiri akuombe?
Hapo ukimjengea tabia ya kumpa kama mzazi siku akikua atazitafuta na yeye badala ya kuomba maana aliekuwa anampa ni mzazi au wazazi wake tu

Mtoto wa hivyo kuomba ni vigumu ila kama mtoto kazoea tangu udogo kila kitu kuomba na mzazi anasubiri aombwe ndio atoe, hapo ndio matatizo yanapoanzia
Uamuzi ni wenu
 
Mzungu toka lini akapenda mwanamke mwenye mataqo?


Halafu wazungu wanafahamu nini maana ya true love hawawezi ku - fake!

Wanajua kabisa love should be unconditionally.

Na kwamba mwanamke utakapokuwa after money or any material things basi ni wazi hutapata Mpenzi wa kueleweka na endelevu utabaki kutumiwa tu kwa muda mfupi na wanaume wa kila aina na maisha ya kuhangaika.
 
Watu wenye mentality kama yako hawana exposure wako huko vijijini wamekariri maisha na mahitaji yao ni chakula, malazi na mavazi. Hii ni dimension tofauti, tunaangalia familia na wajibu wa wanafamilia katika context kubwa. Siyo ya kuleta vitumbua asubuhi na kuwapikia ubwabwa jioni.


Huyo nazani atakuwa ni Paula mtoto wa Kajala ambae amerithi kudanga katika umri mdogo!
 
utafiti uchwara..

kwa msaada tu achana na wanawake wasiokuwa na kazi… huwawezi

akina miss buza mbona wapo tu, hao ndo size yako, hawana saloon service za gari wala mafuta

wengine achia wenye pesa zao..

mwanaume halii lii hovyo, jikaze
 
Wasalaam wana JF
Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli.

Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada.

Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako wanaofanya ukahaba wa wazi mabarabarani, maofisini, na mitandaoni. Na wapo wengine wanafanya hivyo indirect mpaka kwenye ndoa zao pia. Yaani, exchange ya viungo vya uzazi na pesa. Na sehemu kubwa ni wale wanaopenda slope, yaani kimjini kitonga au udangaji.

Kimsingi, siyo rahisi kuwa na meaningful relationship hapa Tanzania. Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.

Pengine, sisi kwa sisi, kibongo bongo tunaweza kuhimiliana, je ni aibu gani hawa dada zetu wanalipa hili taifa kwa wageni kutoka nje ya nchi? Gold digqģers.

Tunaomba serikali iwe na mkakati wa makusudi, pengine kuanzia shule za msingi kuwapa ujasiri wanawake. Ujasiri wa kujitegemea, kuwafundisha kuona aibu kuomba na kuwa wategemezi. Kuwa mwanamke siyo kuwa handicapped na siyo justification au leseni ya kuwa omba omba. Tusiruhusu kuwa na taifa lililojaa wanawake wadangaji na omba omba.

katika muktadha huu, kama nchi za wenzetu wameweza sisi kwanini tushindwe? Nchi za wenzetu katika mabara ya ulaya na america wanawake omba omba wapo kwa idadi ndogo sana.

Ikumbukwe, hakuna omba omba anaye heshimika, hizo ndizo harsh realitiies of capitalism.

Mwenye akili na aelewe.
Kama unayo si unampa tu mjuba na kama huna unamwambia pia kuwa huna, najua huwezi kumwambia huna unaogopa utanyimwa na wewe [emoji23][emoji23][emoji23] stand to what your heart and feelings are right maana haikulazimu.. Ila kutaka kula mzigo unataka ila kuhudumia hutaki [emoji41][emoji41]
 
Yaani naogopaga hata kupost picha mtandaoni yaani wanakuona kama tajiri wa kwanza wa dunia na kulazimisha penzi ili tu uwape pesa.. shida ni mbaya sana aisee.. lakini sio kwa matakwa yao mda mwingine inawabidi wawe hivyo.. M/Mungu atawasimamia tu InshAAllah
 
Back
Top Bottom