89% ya waliofariki na Corona wametoka bara la Ulaya, Marekani, China na Iran, huku 0.5% vikitoka Afrika na 0.2% weusi tii! Then why lockdown in Africa

kuna ebola yenye death rate ya 50% haijatumaliza tuje tuishe kwa ugonjwa wenye death rate ya 5%???? gerarahiaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata USA wenye high health technology walizani ni Chinese Virus wakaapuuzia maagizo. See what is happening here now. Waafrika tunspenda kujifariji na kuona wacha wafe tuu, Sisi no.
 
Hata USA wenye high health technology walizani ni Chinese Virus wakaapuuzia maagizo. See what is happening here now. Waafrika tunspenda kujifariji na kuona wacha wafe tuu, Sisi no.
Corona is overrated, ingetokea kwetu huku wala isingekua issue, the thing is imewagonga wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waafrika na waarabu haijawaathiri sana...ngozi zao zimefanana 😀
 
Astah...
Sent using Jamii Forums mobile app
 

nyongo imejaa kisirani

na unapumulia sumu chafu
 
Corticopontine,
I got your point, kwamba africans wapo continuously exposed to a lot of different pathogens from the air, including physical antigens such as dust. To the contrary wazungu wapo exposed to less environmental pathogens kutokana na high standard of life ambayo inawafanya waishi kwenye neat environment, unahitaji tochi kutafuta vumbi ulaya.

Continuous exposure will make the lungs to develop sort of immunity (pulmonary immunity) ambayo ipo standby to immediately respond to any extraneous antigens. Unaweza kugundua hili kwamba wazungu wengi huwa wanachukua chanjo ya kuzuia mafua, which is rare in Africa.
 
Wacha ubwege wewe. Hizo "data" zako ambazo hazifahamu 10.3% ya wqliokufw walipo ndilio za kijinga. Eti "sayansi"! "Sayansi" ya kibwege hiyo.
Andika za kwako mlamba wazungu wewe nahisi wewe hata darasani ulikuwa unapata zero kama huelewi hata hesabu ya kujumlisha na kutoa integration na differentiation utazimia kilaza wewe uelewa wako haufiki ha ta kwenye sole ya kiatu changu
 
Takwimu za Afrika ni za kudanganya toto
 
Kiingereza chenyewe
Vipi wewe mbona mshamba Sana? Tafuta basi na wewe data zako nimekulazimisha kufuatilia za kwangu?! A cha basi uzuzu sayansi ni dynamic inayohitaji maswali utafiti ubunifu na uthubutu sasa ww hujielewi utabakia hvy hvy
 
Una akili nyingi SNA hongera
 
Kiingereza chenyewe

Vipi wewe mbona mshamba Sana? Tafuta basi na wewe data zako nimekulazimisha kufuatilia za kwangu?! A cha basi uzuzu sayansi ni dynamic inayohitaji maswali utafiti ubunifu na uthubutu sasa ww hujielewi utabakia hvy hvy
Naam, Mimi nitabaki Hivi hivi, hilo lisikutie wasi wasi.

Unaongelea Kingereza? Aah akili za kijinga hizo kudhani kuwa Kingereza ndiyo kinakufanya uwe mbora sana. lugha na makabila ili tufahamiane tu.

Kama.hunielewi kwa Kiswahili sema tu tuanze kuwasiliana Kingereza. Utanielewa kweli? Just remember,I dream in English.

Kuna mwenzako mmoja anaetoa data za uongo kama wewe kashikwa kwenu Kilimanjaro huko,mwengine kashikwa Morogoro huko na wewe endelea tu. Usije kujuta.
 
Andika za kwako mlamba wazungu wewe nahisi wewe hata darasani ulikuwa unapata zero kama huelewi hata hesabu ya kujumlisha na kutoa integration na differentiation utazimia kilaza wewe uelewa wako haufiki ha ta kwenye sole ya kiatu changu
Wewe punguani 10.3% umewapotezea wapi kwenye uongo wako juu huko?

Kumbe bado unasoma! Sasa nenda kawaulize Walimu wako 10.3% iko wapi kwenye hesabu zako? I assure you, they won't be able to help you, simply because definitely, they are as uneducated fools as you are.
 
 
Mrembo Faiza Foxy Leo wamekuudhi
 
Nisamehe bure Faizafoxy nilijua na mm ungeheshimu kautafiti kangu kadogo lakn umenikejeli tu sawa bwana ndivyo tulivyo wabongo
 
Mkuu chukua tahadhali. Nawa mikono mpaka kwenye viwiko angalau kwa sekunde 20, usichokonoe pua kwa vidole, usiguse macho kwa vidole( kutoa tongotongo uchafu), usiguse mdomo kwa vidole ni hatari. Punguza msongamano usio wa lazima. Covid 19 inaua.
Watu wanakufa kwa TB wanasingizia Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…