Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
- Thread starter
-
- #61
Una 05%Kijana wewe baki na ujanja wako na kutafuta pakutokea. "Weusi tii" umeitoa wapi? Sudan ya Kusini?
Unataka nikufundishe maana ya "pathogenesis"? Au unataka nikufundishe maana ya "covid-19? Usione haya, sema tu ntakupa darsa. Anza na hiyo...
Pathogenesis is the process by which an infection leads to disease. Pathogenic mechanisms of viral disease include (1) implantation of virus at the portal of entry, (2) local replication, (3) spread to target organs (disease sites), and (4) spread to sites of shedding of virus into the environment.
Dunia ya leo ya IT unauliza swali la kijinga hilo? Hata mjukuu wangu wa darasa la nne atakujibu huku anacheza game. Pambaf.
We nawe hujielewa , kwahiyo Death rate ime cross 50%?Hata USA wenye high health technology walizani ni Chinese Virus wakaapuuzia maagizo. See what is happening here now. Waafrika tunspenda kujifariji na kuona wacha wafe tuu, Sisi no.
Ujijuwe 65% ushindwe kujuwa 10.3% umeipotezea wapi?Una 05%
Virus ni single celled organism
Nimekupunguzia alama una 03%Ujijuwe 65% ushindwe kujuwa 10.3% umeipotezea wapi?
Kwa akili zako Mimi nipoyoyo kama wewe?
Kuna poyoyo mwenzako huku na yeye kakosa cha kufanya kaanza kuzuwa kama wewe, au ni wewe ID yako nyinggine?...Nimekupunguzia alama una 03%
Corona is overrated, ingetokea kwetu huku wala isingekua issue, the thing is imewagonga wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiingereza chenyewe
Vipi wewe mbona mshamba Sana? Tafuta basi na wewe data zako nimekulazimisha kufuatilia za kwangu?! A cha basi uzuzu sayansi ni dynamic inayohitaji maswali utafiti ubunifu na uthubutu sasa ww hujielewi utabakia hvy hvy
Kuwa makini, kasome BBC, 80% ya vifo ni black tii, na unakuta wakaazi weusi eneo hilo ni 30% lakini.waliokufa weusi ni 80% ya wagonjwa wote.Ukifuatilia kwa umakini epidemiology ya ugonjwa huu haiziathiri ngozi nyeusi zilizokulia Africa zinazopambana na Virus wengi walioko kwenye Vumbi tunalokutana nalo pengine Vumbi hili lina particles ndogondgo ambazo hazitakiwi na mwili na hivyo basi kinga za miili yetu ziko stressed kuingia vitani kila siku yaani ni kinga korofi zilizo tayari kwa Vita kila dakika kuulinda mwili maana tunazikorofisha kila kukicha na zenyewe hazichoki
Kwa lugha rahisi ya kisayansi ni kwamba Virus ni single celled organism prokaryotes, ambaye hawezi kuishi nje ya host
Kosa walilolifanya wazungu ni kuliondoa vumbi ambalo lina mahusiano ya moja kwa moja na maisha yet u
Sayansi inasema hawa Virus huwa wako katika hali ya kujitafutia chakula ambapo basi virus hawa huona mwili wa binadamu au viumbe wengine Kama sehemu ya kutafuta chakula kukuua huwa si kusudio Lao
Kwa hiyo viongozi wa Afrika ruhusuni tu watoto waende shule na watu waendelee na maisha yao
Wazungu wafikirie upya uhifadhi wa Mazingira yao
Kuwa makini, kasome BBC, 80% ya vifo nchini marekani ni black tii, na unakuta wakaazi weusi eneo hilo ni 30% lakini.waliokufa weusi ni 80% ya wagonjwa wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
mama siku hizi umekuwa mkali,mpaka nashindea kukuomba unyumba[emoji15]Wewe punguani, huwezi andika takwimu ukapoteza zaidi ya asilimiakumi ya takwimu.
Hiyo shule uliyoenda ni ya kijinga na imekufundisha ujinga halafu bado unabishana kijinga badala ya kushukuru umefunfishwa kuwa huo ni ujinga.
You are simply an ignorant fool.
Nimekudisqualify au rudia mwaka. Siwezi kuwa na mwanafunzi kilaza Kama wwKuna poyoyo mwenzako huku na yeye kakosa cha kufanya kaanza kuzuwa kama wewe, au ni wewe ID yako nyinggine?...
Mkuu wa Chuo cha Harvard akamatwa na wengine 60 kwa tuhuma za kuzalisha coronavirus na kuwauzia China - JamiiForums
Umeshushuka shuu, ati "weusi tii".Nimekudisqualify au rudia mwaka. Siwezi kuwa na mwanafunzi kilaza Kama ww
Wewe vipi umeacha kuliwa na wanaume wenzako kule..?mama siku hizi umekuwa mkali,mpaka nashindea kukuomba unyumba[emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha uongo, jasome post namba 81 uijibu.Ukifuatilia kwa umakini epidemiology ya ugonjwa huu haiziathiri ngozi nyeusi zilizokulia Africa zinazopambana na Virus wengi walioko kwenye Vumbi tunalokutana nalo pengine Vumbi hili lina particles ndogondgo ambazo hazitakiwi na mwili na hivyo basi kinga za miili yetu ziko stressed kuingia vitani kila siku yaani ni kinga korofi zilizo tayari kwa Vita kila dakika kuulinda mwili maana tunazikorofisha kila kukicha na zenyewe hazichoki
Kwa lugha rahisi ya kisayansi ni kwamba Virus ni single celled organism prokaryotes, ambaye hawezi kuishi nje ya host
Kosa walilolifanya wazungu ni kuliondoa vumbi ambalo lina mahusiano ya moja kwa moja na maisha yet u
Sayansi inasema hawa Virus huwa wako katika hali ya kujitafutia chakula ambapo basi virus hawa huona mwili wa binadamu au viumbe wengine Kama sehemu ya kutafuta chakula kukuua huwa si kusudio Lao
Kwa hiyo viongozi wa Afrika ruhusuni tu watoto waende shule na watu waendelee na maisha yao
Wazungu wafikirie upya uhifadhi wa Mazingira yao
Nimesema .mm siwezi kuwa na mwanafunzi kilaza, umefeli Una sifuri bin masikioUmeshushuka shuu, ati "weusi tii".
Porojo zenu pelekeni kwa mapoyoyo wenzenu.