Vp kuhusu industrial revolution? Wakati sisi tunawinda na kula matunda porini, wao walikuwa na viwanda vikubwa vikubwa
Sawa mkuu. I do understand nowHeavy industries hazina muda mrefu sana duniani na ukifuatilia Africa katika kipindi hicho tayari jamii nyingi zilikuwa zinajizalishia vitu vingi tu kama zana za kilimo na baadhi ya vitu vingine. Hivyo hadi wazungu wanakuja tayari tulikuwa tumeendelea kiasi tofauti na hiyo stage ya mizizi na matunda
Haswaa... umejibu vizuri mkuuBila kuathiri majibu ya watu wengine, sababu ya ziada ninayofikiri ni kwamba inawezekana Wazungu walikuwa na shida nyingi kuliko Waafrika. Kabla hawajagundua teknolojia watu wao wengi walikufa kutokana na mazingira magumu ya kuishi, ikiwa ni pamoja na baridi kali, njaa, magonjwa nakadhalika -- yaliyotokana na jiografia ya nchi zao. Ilibidi watumie akili za ziada kuishi. Wakajikuta wanatoka 'nje ya box' hadi kufika kwetu. Kwa upande wetu huku Africa, Mungu alitupendelea sana kwa raslimali nyingi, hali ya hewa nzuri n.k. ikawa huhitaji kutumia akili nyingi sana 'kusavaivu' Afrika. Tukabweteka. Bahati mbaya sana tunaendelea kubweteka hadi leo.
Hata kama sio jibu sahihi lakini una pointiBila kuathiri majibu ya watu wengine, sababu ya ziada ninayofikiri ni kwamba inawezekana Wazungu walikuwa na shida nyingi kuliko Waafrika. Kabla hawajagundua teknolojia watu wao wengi walikufa kutokana na mazingira magumu ya kuishi, ikiwa ni pamoja na baridi kali, njaa, magonjwa nakadhalika -- yaliyotokana na jiografia ya nchi zao. Ilibidi watumie akili za ziada kuishi. Wakajikuta wanatoka 'nje ya box' hadi kufika kwetu. Kwa upande wetu huku Africa, Mungu alitupendelea sana kwa raslimali nyingi, hali ya hewa nzuri n.k. ikawa huhitaji kutumia akili nyingi sana 'kusavaivu' Afrika. Tukabweteka. Bahati mbaya sana tunaendelea kubweteka hadi leo.
Huo ni mfano hai kabisa...nakubaliana na weweAfrica sehemu kubwa sana unaweza kupanda mazao na kulima mwaka mzima.
Ulaya kipindi kirefu cha baridi huwezi kulima.
Ni wazi mtu ambaye kwake hakuna neema hii atataka kwenda sehemu nyingine ambayo ina neema hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
The truth must be said, and you have done it. Thanks
I have concluded well[emoji23][emoji23][emoji23] Sawa kama unatafsiri hivyo. Nimekuelewa vizuri sana. Nilikuwa sijalifikiria hilo.[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
unajua mwarabu ameingia egypt mwaka gan??.. [emoji4]
unazungumzia historia ya mtu kama haile wa karne ya 20
me nakupa data za misri iliyoongozwa na Black khemets (kushite)... miaka elfu 3 kabla ya kuzaliwa yesu... means huu ni mwaka 2020 toka azaliwe yesu
urudi miaka elfu tatu kabla
ambapo hata nabii mussa alikua hajazaliwa.
Misri ambayo iliishi kwa kuamini miungu kama Amun-ra... osirs.. horus ... Anubis ... sobek
Bro.... [emoji38]
Sent from my SM-J5007 using JamiiForums mobile app
Just indication ya kuwa wewe ni superiorInfantry Soldier,
Kwani kumfanya mtu mwenzako mtumwa ni kitu kizuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya kitu kinachomtenganisha mtu na mnyama ni uwezo wa kumhudumia mwingine.
@wamepiga marufuku utumwa baada ya kuwa wamenufaika na biashara hiyo kwa kiwango cha juu sanaNdiyo maana watu wenye akili zao wamepiga marufuku utumwa dunia nzima.
Kwani walishindwa kufaidika zaidi?@wamepiga marufuku utumwa baada ya kuwa wamenufaika na biashara hiyo kwa kiwango cha juu sana
Mkuu umenichekesha sana, kuwa tulihitajiana kufanyana misukule [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]1.Technology-mzungu na muafrica walikutana kwa mara ya kwanza mnamo karne ya 15 wakati huo mzungu yupo mbali kidogo katika teknolojia mfano silaha hivyo tusingeweza kuwateka kama tungeenda
2.Umasikini -Mzungu aliweza kufika huku kututeka kutokana na kwamba alikuwa na capital sasa kwa mfano mkwawa angeweza ku finance jeshi lake kwenda Ulaya ?
3.Kutokuwa na Wazo hilo- Mu Africa hakuwa na wazo la kumtawala mzungu kama mtumwa kwa sababu wazungu walimuitaji mtu mweusi kumfanya mtumwa kwenye mashamba ya Miwa nk lakini sisi tuliitajiana kufanyana misukule
4.SABABU ZA KIUTAWALA-Wazungu walikuwa na mfumo mzuri wa kiutawala kwa mfano Uingereza ilikuwa chini ya utawala wa kifalme pamoja na nchi zingine za Ulaya lakini huku kwetu tuliongoz kitemi kila kabila na mtemi wake hivo isingewezekana wote wakubaliane katika kwenda Ulaya na kuteka wazungu
Mkuu sasa hao misukule kwanini tusingechuka misukule ya kizungu?lakini sisi tuliitajiana kufanyana misukule[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
Sent using My COVID-19
ndio mkuu😂 mu Africa kuna muda ni mtu wa ajabu,umewahi kusikia wale ma explorers au Slave traders walirogwa ? hapana lakini tunakaa kulogana sisi kwa sisi tuMkuu umenichekesha sana, kuwa tulihitajiana kufanyana misukule [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
huwa najiuliza hilo swali sipati jibu mkuu,tunawafanya misukule watu wasio na hatia lakini tulishindwa kuwafanya misukule wazungu walio tutesa, yani ulaya na uarabuni yote ilipaswa ma babu zetu waigeuze ijae misukule tu leo hii tungekuwa matajiri sana
Mkuu mwafrika na kumbukumbu wapi na wapi?Ok lakini kama alikuwa anawek kumbukumbu inaweza kumsaidia kujua kipi ni kipi