Ivi mkuu ulitaka niseme biblia na quran zipo sahihi kwa pamoja? Nilichokiona mchanganyiko wa ukweli, uongo and many unreasonable teachings.
Kitabu cha Mungu kitasemaje uongo?
Ningeomba kwanza kujua japo kwa ufupi uliifanya vp hiyo research? maana mie nina mashaka kuwa huenda hukufanya research kabisa kutokana na hayo maswali uliyouliza.
Ninawezakuyajibu hayo maswali.
Ila kwa namna tu ulivyoyauliza, ninahofia nitaingia katika malumbano na wewe.
Niseme ninachokiamini binafsi ndicho nitakujibu, and hereby, I quote your signature of which speak volumes thus
summarizes all what I could say, " Speak only when you feel that your words are better than your silence."
I for now, I rest my case.
NB. Sikulazimishi kubadili mtazamo wako, ila, amini usiamini: sijaamini kama na wewe unawezakuwa na mtazamo wa
namna hiyo.
Ongeza fikra kidogo na upange upya andishi lako laweza kuwa na funzo hata kwako mkuu.
Umewaambia wasifanye ( na madhara yake umewaambia ) watoto wakakengeuka na kufanya (madhara ni haki kwao )
Kiroja ni swali lako sasa.
Kama wamekengeuka na kufanya "hoja ya kuwaacha wafanye inatoka wapi ?
We sinker vipi ?
"Does it logically "
Sijaelewa hoja yako.
Nakusoma vyema mkuu.
Embu tujaribu kueka inference hii:
Kwamba wewe unawatoto wako wawili, unawapenda sana, ukawambia kitu fulani msifanye (coz kinamadhara kwao) but watoto wakakengeuka na kufanya. Jee utawaacha tu kwa vile ulishawakataza?
Does it logically? If not, why?
We unaamini hii dunia na vilivyomo vimetokea wapi?
Na unaamini Ulimwengu (Universe) umetokea wapi?
Katika ule moto wa mwisho wako watu ambao Watakua ndio KUNI ya wengine, yaani bottom of lile shimo ndio wataanza wao, ambao wewe ni mmoja wao.
Then kule juu mwisho mwisho kwenye Moshi unapoishia ishia ndio tutakaa sisi believers ikitokea tukaingia kule kwa bahati mbaya (Mungu apishie mbali).
Na ndio maana umesema, baada ya kuona madhara ya hicho kitu unawakataza. Sasa kama umeshawakataza na bado wakatenda, madhara hayo yatawapata, na yakishawapata, kama yapo ndani ya utatuzi wako utatatua. Ndio maana Mungu alitangulia kuwaonya Adamu na Eva kwa kauli hii matunda ya miti yote mwaweza kula, walakini matunda ya mti wa katikati ya bustani msile, maana siku mtakayokula, hakika mtakufa. Hivyo Mungu alionya kwanza, na lakini hata baada ya wao kukaidi, bado aliahidi ukombozi kutoka kwenye kifo hicho kwa kumtuma mwanae afe kama mbadala.
Hahahahaaaa! watu mnatishwa sana! mwee!!
Ilipotokea dunia ni ngumu kuelezea kama wewe tu utakavyoshindwa kuniambia Mungu katokea wapi!!!!
vitu vingi umeongea ukweli lakn wabongo kwa imani zao huwez kuwashawishi, hizi dini mbili ni mawazo yaliibuka hapo middle east watu waka copy na kupest na kutuletea huku. yaani mungu ambaye anaona dunia yoote awe na uvivu wa kupeleka imani mwenyewe brazil,afrika,china hadi watu waje wamsaidie tena wengine through vita?????