Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nimesema mapadri na masheheKwingine kooote sawa ila kunasehemu umeonyesha chuki ya udini, siyo vizuri lakini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapa ndio mtihani maana nyingine nilizi mark kichwani.Nitumie hizo data then nitakuandikia..
Pole uwe unacreate pdf kabla ya kuanza kupost humu.. ili ziwe 2
Inahusu nini hasa..na lengo lao ni nini.?Kwa walioko interested kuna kozi ya AI inatolewa online bure kabisa kutoka chuo kikuu cha Helsinki Finland. Mtu yeyote anaweza kusoma ili kujua basics za AI. LINK YA KWENYE COURSE HII HAPA https://course.elementsofai.com/
What is AI and it's branches, and what AI is not, lengo lao wanataka angalau 3% ya world population wajue AI japo katika basicsInahusu nini hasa..na lengo lao ni nini.?
Tunachangamsha genge tuMbona mnadanganyana nyie watu
Wee jamaa vipi wewe.. mimi nimeathiriwa na lugha ya kabila langu..tunatumia ara zaidi hadi kwenye elo.Bandiko ni zuri, ila sijalimaliza baada ya kukutana na neno "siraha" badala ya neno "silaha" Bandiko ni zuri, ila sijalimaliza baada ya kukutana na neno "siraha" badala ya neno "silaha"