A living legend: Bado namuomboleza Hayati Magufuli, Shujaa wa Afrika

kwahiyo umekubaliana na yupi kati ya hao wote hapo juu!!!
 
Mnaotukana kwenye hiyo mitandao si nyie au mnafikiri hatuwajui. Tunawajua sana kuwa ni kikundi kinachojiita CCM mtandaoni kikiongozwa na kiongozi wenu Msiba na sasa hivi mna stress hatari maana haijulikani kama mtaendelea kupewa hizo posho.
Mother hawezi kuwapa posho pumbavu hawa, kwanza hana muda na mtu, yeye anachapa kazi kimya kimya. Hawajui hata waanzie wapi kumwingia, na katibu mkuu kiongozi kauzu balaa, hacheki na hawa kima.
 
Ni wengi sana tulioumizwa na kifo chake mkuu,ila kisasi ni cha Mungu,inatupasa kumuachia yeye."Wapendwa, msijilipizie kisasi, bali mtoe nafasi kwa ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa,Kisasi ni juu yangu,Mimi nitalipa, asema Bwana"....
 
kwahiyo umekubaliana na yupi kati ya hao wote hapo juu!!!
Mungu aliyemkata kiumbe aliyejifananisha naye ndiye ninayekubaliana naye daima.
Ukijifananisha naye hata wewe unakatiliwa mbali trust me! Au yeyote asikenua mifupa ya kinywani (kama mwenda zake) akisikia akifananishwa na muumba wake!
 
Ukisoma Nyuzi Kama hizi Ndio utagundua vijana hawana kazi /ajira, vile vile ni wapuuzi.

Hakuna mtu mwenye kazi yake inayomuweka busy anaweza kuwaza marehemu wakati wote hata angelikuwa mzazi wako.Vijana tafuteni kazi za kufanya acheni kuota mchana.

Usipojipanga Utapangwa,Tanzania kazi inaendelea Nchi huwa haifiwi
 
Mungu aliyemkata kiumbe aliyejifananisha naye ndiye ninayekubaliana naye daima.
Ukijifananisha naye hata wewe unakatiliwa mbali trust me! Au yeyote asikenua mifupa ya kinywani (kama mwenda zake) akisikia akifananishwa na muumba wake!
usijipe kazi ya kumjua Mungu.

narudia tena,hana urafiki na chadema.
 
unadhani kila kazi ni kama ya kwako kijana!!!

kuna kazi tofauti tofauti duniani,usikariri.
 
Utajikuta unashindana na Mungu
 
Is gone so early due to curses levelled against him from noxious actions he committed against innocent civilians in general, It's God who passed His verdict to save the people from the would be more pangs were he led the country in this final term.
Jiwe should die more than once
 
usichojua ni kwamba kuna mambo rais hupelekewa ripoti tu.na hana maamuzi nayo moja kwa moja kama hilo la kuua wajinga wajinga.
Wacha uongo mkuu..

Hata wanaohukumiwa kifo mahakamani hawanyongwi bila idhini na sahihi ya rais.

Jiwe aliua wananchi wengi wasio na hatia kuliko hata wakoloni woote waliowahi kutawala Tanganyika🙄
 
Wewe ndiye ulitakiwa kuwa Mama Janet, siyo kwa akili hizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sina shida na content ya uzi wako, ni haki yako kuomboleza, na watu wote wana paswa kukupa pole endelevu! Tatizo dogo tu ni hiyo heading yako, hasa neno “living” nafikiri ungeweka neno “dead”, maana angekua living legend, kungekua na haja gani ya kumwombolezea?!
 
Bwana weee mtuache tupumzike, nyie endeleeni tu kuomboleza tu huko kimya kimya.
 
Una vituko
 
Mitano tena
 
Sawa mama janeth
 
Mkuu, hicho ni kikundi cha musiba na genge lake, wahuni wa Lumumba wanaofanya hiyo kazi kwa kulipwa buku 7 kwa siku, wala siyo wananchi
 
misukule ni mingi kweli duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…