A living legend: Bado namuomboleza Hayati Magufuli, Shujaa wa Afrika

A living legend: Bado namuomboleza Hayati Magufuli, Shujaa wa Afrika

Kila mara nikikaa kuwaza au kufikiria juu ya Magufuli roho inaniumaa sana. Nawaza hivi kwa nini watu wema ndio huwa wanatangulia kuliko waovu.

Hayati Magufuli alijitahidi kutuonesha njia sisi watanzania kuwa tuna nchi ya aina gani.

Aliweza kuongea kwa ujasiri juu ya vile Tanzania imebarikiwa. Lakini hilo wasioitakia mema nchi yetu halikuwapendeza kwa kuwa alizuia maslahi yao yaliyopatikana kwa njia haramu.

Watu wengi walijitokeza kumpinga lakini yeye hilo alikumkatisha tamaa alizidi kuitumikia nchi yake Tanzania kwa uzalendo wote mpaka pale walipofanikisha adhma yake. Leo wanatamba. Eti legacy ijitetee.

Ukitazama mazingira ya kifo chake kwa kweli sio siri yanasikitisha. Ni kama vile kuna kitu nyuma yake ambayo ilikuwa a long plan ambayo ilihusisha kupoteza roho za watu wengi wasio hatia ili kutimiza lengo lao ionekana ni normal case but i think is not okay.

But i believe kama ni mipango ya watu walitakalo halitafanikiwa.
Tazama: inafikirisha sana tangu afariki Magufuli Matangazo ya Tanzia yamekwisha, is this a coincidence au? Au planned to justify someone death..??

Hapana waliohusika it's better watafutwe haiwezekani wao ndio wawe wanatuamulia nchi iweje..!

Narudia tena haiwezekani, Tanzia Tanzia Tanzia, then kimya ina maana ile Corona iliokuwa ikiua viongozi sasa imekwisha au tuingoje hata lini..? There is something fish planned and not a coincidence. Sure.

I'll always remember Hayati JPM.

I'm ready kupopolewa na Ufipa.

Muwe na usiku mwema.
Nna swali ningependa nipate elimu juu ya hili.. Ili uwe shujaa wa bara lolote duniani lazima uwe kuna jambo la manufaa au ukombozi umelifanyia bara husika. Je ili nami nisiejua kitu na ili nijue nihabarishe, kalifanyia nn bara la Africa mpaka akapewa tunu ya shujaa! Ahsnt
 
Alikuwa ni masieh aliyekuja kukamilisha yale yalioonekana hayawwzekani tena na yametushinda kisha aondoke. Namfananisha na manabii wote, kuwepo kwao kulikuwa na sababu na ikiisha kamilika wote waliondoka iwe mapema ama kwa muda mrefu.

Tizama kuhamia Dodoma kumengoja 40 yrs

Bwawa la Nyerere 40yrs

Hospital ya Mara ilikwama toka enzi za Nyerere ila JPM aliijenga kwa mwaka 1

MV Bkb ilizama tokea 1996 na kukaa miaka 25 pasipo kuwa na usafiri hadi alipokuja masieh huyu ndani ya miaka 2 kakarabati Victoria na mpya inaelekea kuisha.

Kule Arusha treni ilisimama zaidi ya miaka 25 lakini mwamba huyu ndani ya miaka 2 aliwarudishia wachagga wanyonge Furaha zao.

Duniani kuna watu waliletwa kufanya yale yaliyoonekana yameshindikana na hayawezekaniki tena na ndo ujio wa JPM. Tutapoteza muda mwingi kujilinganisha ni kwasababu ya kudharauliana tu japo ukweli ni kwamba watu wanazaliwa hivyo na karama zao. Hata mkitaka kumtukana matusi ya nguoni, huyu bwana kazi yake aliimaliza na daima udongo na ardhi ya Tz itaenzi kazi za mtu huyu, mimi na wewe tupo tu tunapiga maneno ila hiatoria yake itaenziwa.

Wajerumani wana A. Hilter na wachina wana Mao, hawa watu watakuwa wanasemwa kwa mengi ila nchi na vizazi vya wakati wao wanasimulia ni nini ilikuwa kazi yao kwa maendeleo ya sasa ya mataifa yao
 
sasa mbona bado unaishi kama shetani tu!!!

kushindwa kubaya kwa umasikini binafsi ni kuamini kuna mtu anakusababishia.

mind you utakuganda huo mpaka unuke nao.
Hahahaha mimi ni maskini? Hahahaaaa haya asante
 
Angekuwa shujaa kweli na msafi asinge mchukia prof. Assad kumkagua na kueleza wizi wake wa matrilion huku akijificha kwenye mgongo wa kuita watu wanyonge, huyo shujaa wenu wa chato hajafikia na hata fikia level ya hata kuwa shujaa wa mkoa

Shujaa anakimbia kukosolewa na ukimkosoa unapotea huyo ni shujaa au jambazi? Shujaa hataki kupingwa na yeyote shujaa alionesha njia gani kwa mfano kufungia vyombo vya habari vinavyo mwambia ukweli na kueleza madhaifu yake? Huyo shujaa wenu vipi jaman? Msipingane na ukweli kwamba mungu ameona ni vyema na ni haki shujaa wenu huyo apumzishwe milele.



The so-called Prof Assad alijitumbua mwenyewe. Ile ripoti ilikuwa seconded na the then president Magufuli. Akaambiwa waichambue in and out kwa kuwapatia semina viongozi husika. Yeye akaelewa kuwa alitakiwa kwenda kuitukania nchi yetu huko USA. Hakuna mtu mwenye busara ambaye angemvumilia hata kidogo.
 
Alikuwa ni masieh aliyekuja kukamilisha yale yalioonekana hayawwzekani tena na yametushinda kisha aondoke. Namfananisha na manabii wote, kuwepo kwao kulikuwa na sababu na ikiisha kamilika wote waliondoka iwe mapema ama kwa muda mrefu.

Tizama kuhamia Dodoma kumengoja 40 yrs

Bwawa la Nyerere 40yrs

Hospital ya Mara ilikwama toka enzi za Nyerere ila JPM aliijenga kwa mwaka 1

MV Bkb ilizama tokea 1996 na kukaa miaka 25 pasipo kuwa na usafiri hadi alipokuja masieh huyu ndani ya miaka 2 kakarabati Victoria na mpya inaelekea kuisha.

Kule Arusha treni ilisimama zaidi ya miaka 25 lakini mwamba huyu ndani ya miaka 2 aliwarudishia wachagga wanyonge Furaha zao.

Duniani kuna watu waliletwa kufanya yale yaliyoonekana yameshindikana na hayawezekaniki tena na ndo ujio wa JPM. Tutapoteza muda mwingi kujilinganisha ni kwasababu ya kudharauliana tu japo ukweli ni kwamba watu wanazaliwa hivyo na karama zao. Hata mkitaka kumtukana matusi ya nguoni, huyu bwana kazi yake aliimaliza na daima udongo na ardhi ya Tz itaenzi kazi za mtu huyu, mimi na wewe tupo tu tunapiga maneno ila hiatoria yake itaenziwa.

Wajerumani wana A. Hilter na wachina wana Mao, hawa watu watakuwa wanasemwa kwa mengi ila nchi na vizazi vya wakati wao wanasimulia ni nini ilikuwa kazi yao kwa maendeleo ya sasa ya mataifa yao


They don't understand this. They only thing they may I agree with you ni palee ukiwaambia kuna deals za kukwepua pesa za umma. Pathetic!!!
 
Nna swali ningependa nipate elimu juu ya hili.. Ili uwe shujaa wa bara lolote duniani lazima uwe kuna jambo la manufaa au ukombozi umelifanyia bara husika. Je ili nami nisiejua kitu na ili nijue nihabarishe, kalifanyia nn bara la Africa mpaka akapewa tunu ya shujaa! Ahsnt
Kama wewe humtambui basi siwezi kukulazimisha kama katika yote alofanya hakuna uliloona nitakuaminishaje sasa..!
 
shetani yule, kaumiza watu wengi sana,
angekua shetani asingewachukia mafisadi, wauza unga wapiga madili bali angewafanya marafiki na kuendeleza ushetani huo.

wasichokijua waliotekeleza mauaji ya magufuli wamejenga kisasi cha kudumu katika mioyo ya watanzania wengi na ipo siku kisasi hiki kitawagharimu sana.
 
angekua shetani asingewachukia mafisadi, wauza unga wapiga madili bali angewafanya marafiki na kuendeleza ushetani huo.

wasichokijua waliotekeleza mauaji ya magufuli wamejenga kisasi cha kudumu katika mioyo ya watanzania wengi na ipo siku kisasi hiki kitawagharimu sana.
Limejiua lenyewe, ww una maradhi ya moyo, then Bado huchukui tahadhali unategemea kinga za waganga wa jadi
 
Time will tell, nimeshajiapiza moyoni mwangu, endapo itajulikana wazi kabisa alomuua rais wangu. Basi mimi binafsi kwa juhudi zangu binafsi na kwa njia yoyote ile uchawi, ama hadharani, lazima nimuue.

Mimi sio mchawi ila nitautafuta kwa gharama yoyote popote hapa duniani ili niue ikiwezekana kwa mkono wangu mwenyewe.
Lilijifia lenyewe huko tu wala hakuna shida. Kwani yeye ni nani? Huyo mpumbavu mwenzio hapo juu anataka neno tanzia liwepo tu kila siku. Mwambie kuna maisha mengine baada ya Tanzia
 
Habari

Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.

Kuna group linaitwa Chadema in blood kule facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko instagram ndiyo balaa kabisa, njoo Jamii forum hali ni hiyo hiyo!

Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?

Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote, leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?

Je, Tundu Lisu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?

Je, ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana? au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali?

Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
Hata mwenda zake kule twita kwa wenye akili alikuwa anatukanwa sana kwenye twiti zake. Huko insta ni kwa ma choko wa sukuma gang na FB ni kwa watoto so usishangae. Tz tuna amani baada ya lile dubuwasha kwenda zake asee
 
Kila mara nikikaa kuwaza au kufikiria juu ya Magufuli roho inaniuma sana. Nawaza hivi kwanini watu wema ndio huwa wanatangulia kuliko waovu.

Hayati Magufuli alijitahidi kutuonesha njia sisi Watanzania kuwa tuna nchi ya aina gani.

Aliweza kuongea kwa ujasiri juu ya vile Tanzania imebarikiwa. Lakini hilo wasioitakia mema nchi yetu halikuwapendeza kwa kuwa alizuia maslahi yao yaliyopatikana kwa njia haramu.

Watu wengi walijitokeza kumpinga lakini yeye hilo halikumkatisha tamaa; alizidi kuitumikia nchi yake Tanzania kwa uzalendo wote mpaka pale walipofanikisha adhma yake. Leo wanatamba. Eti legacy ijitetee.

Ukitazama mazingira ya kifo chake kwa kweli sio siri yanasikitisha. Ni kama vile kuna kitu nyuma yake ambayo ilikuwa a long plan ambayo ilihusisha kupoteza roho za watu wengi wasio hatia ili kutimiza lengo lao ionekana ni normal case but i think is not okay.

But I believe kama ni mipango ya watu walitakalo halitafanikiwa.

Tazama: Inafikirisha sana tangu afariki Magufuli Matangazo ya Tanzia yamekwisha, is this a coincidence au? Au planned to justify someone death?

Hapana waliohusika it's better watafutwe haiwezekani wao ndio wawe wanatuamulia nchi iweje!

Narudia tena haiwezekani, Tanzia Tanzia Tanzia, then kimya ina maana ile Corona iliokuwa ikiua viongozi sasa imekwisha au tuingoje hata lini? There is something fish planned and not a coincidence. Sure.

I'll always remember Hayati JPM.

I'm ready kupopolewa na Ufipa.

Muwe na usiku mwema.
Nani achunguze wakati aliyerithi kiti chake anachekelea?

Aliyerithi kiti chake anajitahidi kuua legacy ya Magufuri utafikiri yeye hakuwa sehemu ya hiyo serikali?
Aliyerithi kiti chake anamwacha Magufuri anatukanwa utafakari hakumpendekeza kuwa makamu wa Rais?
Aliyerithi kiti chake anawafukuza akina Bashiru harakaharaka kama vile hawajawahi kufanya mema katika utendaji wake?

Kwa kazi aliyofanya Magufuri nchi, sikutegemea Samia angeanza kufumua serikali ya awamu ya 5 hata kabla ya siku 21 za maombolezo kuisha!

Kama ni kweli wamefanya kitu kibaya kwenye mwili wa Magufuri,ili kutukomoa watanzania, Mungu wetu atatufuta machozi
La sivyo mapenzi yake Mungu yatimie
 
Nani achunguze wakati aliyerithi kiti chake anachekelea?

Aliyerithi kiti chake anajitahidi kuua legacy ya Magufuri utafikiri yeye hakuwa sehemu ya hiyo serikali?
Aliyerithi kiti chake anamwacha Magufuri anatukanwa utafakari hakumpendekeza kuwa makamu wa Rais?
Aliyerithi kiti chake anawafukuza akina Bashiru harakaharaka kama vile hawajawahi kufanya mema katika utendaji wake?

Kwa kazi aliyofanya Magufuri nchi, sikutegemea Samia angeanza kufumua serikali ya awamu ya 5 hata kabla ya siku 21 za maombolezo kuisha!

Kama ni kweli wamefanya kitu kibaya kwenye mwili wa Magufuri,ili kutukomoa watanzania, Mungu wetu atatufuta machozi
La sivyo mapenzi yake Mungu yatimie
Amina. Kama kuna uhusika wa watu. Basi kitokee kitu kuwawajibisha.
 
Back
Top Bottom