A new member

A new member

Dunia inabadilika kwa kasi sana, na wakati unakimbia kuliko spidi ya mwanga. Utandawaza umerahisisha sana mambo, na hii imepelekea matokeo hasi na chanya ambayo yameathiri hata uhalisia wa humu ndani na GT naitazama ikitoweka kwa kasi zaidi.
 
Duuuh,,naish Mbeya wilaya ya KyelaView attachment 1209475
Wewe umetokea wapi wewe unatuabisha watu wa mbeya?. Nani amekuambia humu mnaletwa picha? Hii sio sehemu ya kujitangaza. Hayo mambo nenda huko Fb. Unajirengasha na picha ili upate nini?. Humu watu wanajadiri vitu vya msingi. Unasanifiwa ulete picha na wewe unakuja mbio na lipicha lako. Hujui tu hizi dakika chache ulizotumia hapa Jf kuweka weka mapicha picha yako inaweza kuwa ndio majuto yako ya mbele. Hapo tu umejitangaza ni mwanamke wa aina gani? Wameshakusoma tayari
 
Karibu Sana mremboo wa JF

Hiizi ni zama za ukweli na uwazi jitaidi tu kujibu pm kwa wakati tusipange foleni ndefu


[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Wewe umetokea wapi wewe unatuabisha watu wa mbeya?. Nani amekuambia humu mnaletwa picha? Hii sio sehemu ya kujitangaza. Hayo mambo nenda huko Fb. Unajirengasha na picha ili upate nini?. Humu watu wanajadiri vitu vya msingi. Unasanifiwa ulete picha na wewe unakuja mbio na lipicha lako. Hujui tu hizi dakika chache ulizotumia hapa Jf kuweka weka mapicha picha yako inaweza kuwa ndio majuto yako ya mbele. Hapo tu umejitangaza ni mwanamke wa aina gani? Wameshakusoma tayari
Amewaaibisha kivipi sasa.. Acha wivu mkuu .. Kwani akijitangaza kuna shida gani? Unampangia cha kupost kwa ume-mnunulia vocha...

Acha wivu mkuu... Jackline embu post picha nyingine jamaa afe kabisa
 
Wewe umetokea wapi wewe unatuabisha watu wa mbeya?. Nani amekuambia humu mnaletwa picha? Hii sio sehemu ya kujitangaza. Hayo mambo nenda huko Fb. Unajirengasha na picha ili upate nini?. Humu watu wanajadiri vitu vya msingi. Unasanifiwa ulete picha na wewe unakuja mbio na lipicha lako. Hujui tu hizi dakika chache ulizotumia hapa Jf kuweka weka mapicha picha yako inaweza kuwa ndio majuto yako ya mbele. Hapo tu umejitangaza ni mwanamke wa aina gani? Wameshakusoma tayari
Acha kumtisha mgeni
 
Amewaaibisha kivipi sasa.. Acha wivu mkuu .. Kwani akijitangaza kuna shida gani? Unampangia cha kupost kwa ume-mnunulia vocha...

Acha wivu mkuu... Jackline embu post picha nyingine jamaa afe kabisa
[emoji1][emoji1][emoji1] we mi nimekushindwa
 
Back
Top Bottom