Sabaya kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya kila mtu chuga alishangaa, jambazi lile, wamasai wa mjini hao wana roho ya kikatili sana, wnakunywaga damu mbichi haoAlimuongezea ujuzi tu lakini sabaya ni mkora toka kitambo.Mbinu zingine alifuzu kwa bashite
Njaa pia 😂😂😂Ujana unafanya kila kitu, ikifika time mtu unatulia zako tu,mtu unaangalia vijana wanavyokimbizana
alikuwa anawashughulikia au alikuwa mentor wao, mfano sabaya?Japo kua nilikua simkubali katika mambo mengine, ila kwenye suala la kudeal na hawa viumbe Magu ndio kiongozi pekee hapa nchini alieweza kuwashughulikia vizuri na kuwapunguza kasi ndani ya kipindi kifupi.
Huyu wakili wa majambazi sina taarifa zake.Mawala alifariki au
Ova
Ubabe ni kusaka pesa na sio ushamba kama wa zamaniKuna mmoja alikua anaitwa "nyokaa" hadi JCB msanii wa chuga alimtungia wimbo
Jubilate Kileo alikuwa na binti yake mmoja changu alikuwa anajiuza pale MrinaHahaha, umenikumbusha mbali, Mtoto wa Marehemu diwani Jubilate Kileo mwenye Miami Beach hotel alikuwa rafiki wa karibu na Mafia mmoja kutoka familia ya Laizer mwenye Palson Hotel kipindi hicho akiwa anamiliki timu ya Mpira ya Palson.
Kama umepita Kaloleni nyumbani kwa J. Kileo utaona marekebisho ya nyumba ya Marehemu Mzee Jubilate...kwakweli inapendeza sana kwasasa.
Angalau aliwashughulikia wakapotea,kuna moja wasiojulikana walikosea tu timing Tarime, kuna moja Mwanza akalipora bilioni 4 kwenye akaunti yake,jingine lilikimbia sauzi,aliyajua majizi yote kwa sababu alikuwa kwenye system na alijua michezo yao hata alivyodili nao alikuwa na taarifa nao wote. Kuna limoja lilimzulumu mjane nyumba Magu akamsaidia kuirudisha nyumba ikihisiwa alishiriki njama za kumuua mume Ili apate nyumba hii nyumba mme aliikopea, michezo yao siku ya marejesho ya riba yanapotea au kuzima simu Ili yapore nyumba.alikuwa anawashughulikia au alikuwa mentor wao, mfano sabaya
Alikua Ana mega na kumegwaNyaga alikuwa na mwanamke alizaa nar na ana mtoto mmoja na ndio aliwaachia Ile nyumba ya kule USA Kama unaenda momela
Kisa cha jombi kina uzi humu ndani msachiSema watu wanazidiana level, unataka kushindanisha majambazi kwa matukio, Jombi kwao Mbeya na wewe kama kwenu Mbeya inabidi tukuelewe
Dabo ajentAlikua Ana mega na kumegwa
Walishavuka level ya ukibakaHUU UZI ULITAKIWA USOMEKE
"Vibaka Waliowahi Trend Chuga"
nawasilisha
UMiaka ya 80 kuna jambazi aliitwa Nyau, katika mazindiko yake alilishwa moyo wa paka. Akikurukia shingoni alikaba na kurarua kama paka. Huyu jamabazi aliteleza mikononi kwa PGO kama nyoka anavyoteleza mikononi mwa mwanadamu.
Alikua na hirizi hiyo akiivaa risasi zilikua zinapita bila kumdhuru. Alikinukisha Dar na kwenda kujificha Tanga vijijini huko kwa wakwe zake.
Aliuzwa na mke wake, mke wake alikula dili na wajomba kuwa akiwasaidia kumkamata yeye hatakua na hatia. Aliwaambia akiwa amevaa hirizi yake hamuwezi kumkamata.yupo wapi siku hizi
Basi bwana alikaa ndani muda wote, kuna siku mke wake alimwambia si aende nje akapate fresh air, jamaa alitaka kuvaa hirizi mkewe alimwambia unavaa ya nini si unaemda hapo tu. Kumbe nje wajomba wamezunguka nyumba usawa wa vichaka.
Nyau alikamatwa kizembe sana bila hirizi yake.
Hiyo ya kumegwa ndiyo ilimletea depression maana unyanyapaa wake ni balaa. Yani hata akiingia club na wenzake anakosa raha watu wanavyomtazama, anahisi kama kuna mahali walimwona akimegwa.Alikua Ana mega na kumegwa
Jombi, Tunyande, Masoli, Mtega a.k.a Kisangani, na vijana wao hatari sana Charles Tende, BOOB G, Mophat walitisha sana. ukimiliki VX unalazimika kuwalipa kodi ya ulinzi ili wasilichukue. Siitamani ile Meya ya hao jamaa.Hao vibaka tu ,ndo mana Jombi alikua anasubiri waibe aende akawaibie au la wampe mgao.
Jombi ndio jambazi toka mbeya tanzania yote toka 80s mpaka akafa aliyetikisa.
hao walisakwa na rais mmakonde,
JOMBI alipigiwa akaombwa aache mambo yake atulie
akabugi akaenda huko huko Arusha akapiga tukio na tatizo aliua wazungu kadhaa akaiba madini wakamkamatia manyara huko maporini katika kutoroka.pale ndo akafungwa.
Alikua anawashughulikia huku na yeye anaimarisha genge lake, ni kama zile vita za drugs cartels wanavyopambana kugombea umiliki/utawala.alikuwa anawashughulikia au alikuwa mentor wao, mfano sabaya?
Nyau, King of Kings alikuwa akipita line polisi anawapa watoto wa line pipi na biskuti. kulikuwa pia na chizi mmoja alisumbua sana Hamisi Nindi siku anauawa mitaa ya city center alileta mtafaruku mkubwa sana baada ya kubadilishana risasi kadha na polisi.Miaka ya 80 kuna jambazi aliitwa Nyau, katika mazindiko yake alilishwa moyo wa paka. Akikurukia shingoni alikaba na kurarua kama paka. Huyu jamabazi aliteleza mikononi kwa PGO kama nyoka anavyoteleza mikononi mwa mwanadamu.
Alikua na hirizi hiyo akiivaa risasi zilikua zinapita bila kumdhuru. Alikinukisha Dar na kwenda kujificha Tanga vijijini huko kwa wakwe zake.
Aliuzwa na mke wake, mke wake alikula dili na wajomba kuwa akiwasaidia kumkamata yeye hatakua na hatia. Aliwaambia akiwa amevaa hirizi yake hamuwezi kumkamata.
Basi bwana alikaa ndani muda wote, kuna siku mke wake alimwambia si aende nje akapate fresh air, jamaa alitaka kuvaa hirizi mkewe alimwambia unavaa ya nini si unaemda hapo tu. Kumbe nje wajomba wamezunguka nyumba usawa wa vichaka.
Nyau alikamatwa kizembe sana bila hirizi yake.
almaarufu kama kidole juu....Simu zilikuwepo. Mimi mwenyewe wakati naanza Form Five mwaka 2000 pale Makongo JKT nilikua namiliki Simu ya siemens C25