kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,668
- 9,809
Wabongo kwa kutukuza umaskini.! cha ajabu nini mtu kutokula miguu ya kuku? mi mwenyewe pangu pakavu lakini miguu ya kuku, utumbo na kichwa hunilishi na sijawahi kula hii tangu utoto nyumbani wanajua.
sasa hapo ukisema public wabongo wataanza kukuponda.
sasa hapo ukisema public wabongo wataanza kukuponda.