Tetesi: Abdallah Bulembo akalia kuti kavu kisa elimu yake

Aondoke, alichokifanya kwa shule za wazazi Tanzania hii, watoto wa wa maskini na wazazi wao ndo wanajua. Anashirikiana na headmaster mmoja aliyepo Kasulu
 
richa ya elimu ni mtu mwenye hasira za jirani
 
Mambo ya elimu ya chadema sisi ccm ukiweza manyungu,unafiki,ubazazi na umbea unatosha kuwa kiongozi.Bulembo oyeee ccm oyeee
 
Kwanini hakujiongeza mapema akajipatia na yeye ka shahada ka wizi wizi kama mwenzake Nape..!!
imekula kwake
 
Bulembo hajaiingia pale kwa elimu yake,pale kaingia kwa kujua kulamba watu fulani,usisahau kibint chake kina miaka 21 tu tayari ni mbunge wa vijana hiyo kazi yake ya kumchekesha mfalme sio ndogo
Kwahiyo mtoto wake naye anamiliki shangingi vx na mjengo wa akili?
 
Bulembo na elimu yake ya darasa la saba lazima wamtumbue..kujua kupiga makelele haitoshi..na elimu pia
 
Dogo acha bangi, Mwinyi-Ualimu, Magufuli-Mkemia
Kulikuwepo na haja gani ya wewe kuambatanisha maneno ya kifedhuri kwenye hayo masahihisho yako katika bandiko lake?
alafu nilivyomuelewa mimi ni kama kweli alikuwa hajui Taaluma ya Mwinyi ni ipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…