Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
Yupi kati ya hawa wawili?Bulembo hajaiingia pale kwa elimu yake,pale kaingia kwa kujua kulamba watu fulani,usisahau kibint chake kina miaka 21 tu tayari ni mbunge wa vijana hiyo kazi yake ya kumchekesha mfalme sio ndogo
Magufuli ni Mwalimu wa Chemistry akajiendeleza hadi PhD1 Nyerere Ualimu
2 Mwinyi cjui
3 Mkapa HKL
4 Kikwete Uchumi
5 Maguful Engineering
Jumuiya za Chana cha Mapinduzi, haziongizwi kwa kufuata hivyo uunavyohitaji wewe kuwa ni lazima iongozwe na mtu mwenye Elimu kubwa sana na yenye kutisha. Tulikuwa na Mheshimiwa Marehemu Rashudi Mfaume Kawawa Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, huyu Bwana alifanya kazi kubwa sana kwa iliyokuwa Jumuiya ya Wafanyakazi na aliiongoza vizuri tu. Uongozi ni karama mbona hivi sasa tuna Maprofesa wanaojiuzuru nafasi zao kwa utashi wao na baadae kuja kuzidai kana kwamba wao ndiyo wenye uwezo huo pekee?Tetesi kutoka Lumumba na Dodoma ni kuwa mwenyekiti wa jumuia ya wazazi nchini Bw.Abdallah Bulembo amekalia kuti kavu .hii ni siku chache kabla ya mwenyekiti mpya wa CCM kushika kiti .
Tetesi zinadai mwenyekiti mpya amedai hayuko tayari kufanya kazi na viongozi wa idara na jumuiya ambao hawana sifa za kitaaluma kuongoza idara hizo zilizo chini ya CCM.
Taharifa zinadai watu wameanza kampeni za chini kwa chini kuirithi na fasi yake Bw.Majura aambaye inasemekana elimu yake inatiiwa shaka
Haaaaaaaa la saba huyu"Bulembo huwa anasema ana elimu ya fomu foo"
dunia imebadilika kwa kasi sana ,kawawa hakufika chuo kikuu lakini huwezi kumfananisha na villaza wa ...... alikuwa vizuri kichwani ndio maana akawa pm wa jk nyerere ,hata jpm ameligundua sasa we angalia shule za jumuiya ya wazazi zinapumulia mipira kila kitu sasa kinaongozwa na elimu mkuuJumuiya za Chana cha Mapinduzi, haziongizwi kwa kufuata hivyo uunavyohitaji wewe kuwa ni lazima iongozwe na mtu mwenye Elimu kubwa sana na yenye kutisha. Tulikuwa na Mheshimiwa Marehemu Rashudi Mfaume Kawawa Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, huyu Bwana alifanya kazi kubwa sana kwa iliyokuwa Jumuiya ya Wafanyakazi na aliiongoza vizuri tu. Uongozi ni karama mbona hivi sasa tuna Maprofesa wanaojiuzuru nafasi zao kwa utashi wao na baadae kuja kuzidai kana kwamba wao ndiyo wenye uwezo huo pekee?
Basi atakuwa na cheti orijino.Haaaaaaaa la saba huyu
sijaelewa ulitaka kumaanisha nini!1 Nyerere Ualimu
2 Mwinyi cjui
3 Mkapa HKL
4 Kikwete Uchumi
5 Maguful Engineering
Nampango wakupeleka posa najua mimi kada nitakubaliwaIla ana binti mzuri kweli
dunia imebadilika kwa kasi sana ,kawawa hakufika chuo kikuu lakini huwezi kumfananisha na villaza wa ...... alikuwa vizuri kichwani ndio maana akawa pm wa jk nyerere ,hata jpm ameligundua sasa we angalia shule za jumuiya ya wazazi zinapumulia mipira kila kitu sasa kinaongozwa na elimu mkuu
ni kujipa moyo tu kwa karne hii form four wa tanzania cheo cha juu kabisa ni mjumbe wa nyumba kumikumi tu hata kama ni mwenyekiti sio saizi yakeNakubalianà na wewe kwa kiasi fulani tu, mbona hawa wa sasa hivi hizo Elimu zao hata wenyewe haziwasaidii? Utakuta mtu ana Dgree ila hata kujielewa hajielewi hizo nafasi za uongozi akipewa si ndo anaharibu kabisa? Tukubaliane kuwa Elimu inahitajika hasa kwa kazi za Kitaalamu zaidi ila hizi za kuongozana hata wa Kidato cha Nne anatosha alimradi anajua kusima na kuandika kama alivyo yule ndugu yetu wa kile chama jirani, anaweza hata kuonyesha Cheti cha kidato cha Nne? Ila tunamuamini sana na kazi ya kutuongoza anaiweza juzi juzi katoa tamko na tumelikubali.
ni kujipa moyo tu kwa karne hii form four wa tanzania cheo cha juu kabisa ni mjumbe wa nyumba kumikumi tu hata kama ni mwenyekiti sio saizi yake