Tetesi: Abdallah Bulembo akalia kuti kavu kisa elimu yake

Mkuu acha unafiki, mwenyekiti hana cha kufanya katika hilo, maana amechaguliwa na sio kuteuliwa. Hapo labda adondoke kwenye uchaguzi ujao
Mnajuaga mnakuwa makenge cjui niseme unachagua GIZA na MTU si utachagua mtu.Kuna uchaguzi gani sasa wakati ni one man show/contester?
You ma run alone You may see Your a Champion.

Bulembo hajaiingia pale kwa elimu yake,pale kaingia kwa kujua kulamba watu fulani,usisahau kibint chake kina miaka 21 tu tayari ni mbunge wa vijana hiyo kazi yake ya kumchekesha mfalme sio ndogo
 
Huu utakuwa ni uzushi wa hali ya juu kabisa kwani sasa ni nusu mwaka yupo ana mshauri rais mambo ya siasa kwani rais hakujua kuwa Bulembo hana elimu?
 
Huu utakuwa ni uzushi wa hali ya juu kabisa kwani sasa ni nusu mwaka yupo ana mshauri rais mambo ya siasa kwani rais hakujua kuwa Bulembo hana elimu?
 
Bulembo hajaiingia pale kwa elimu yake,pale kaingia kwa kujua kulamba watu fulani,usisahau kibint chake kina miaka 21 tu tayari ni mbunge wa vijana hiyo kazi yake ya kumchekesha mfalme sio ndogo
Upo sahihi kabisa kiongozi Bulembo hayupo pale kwa bahati mbaya
 
Mkuu acha unafiki, mwenyekiti hana cha kufanya katika hilo, maana amechaguliwa na sio kuteuliwa. Hapo labda adondoke kwenye uchaguzi ujao
Kweli naona huyo mleta mada ana chuki zake tu badala ya kumuwacha Bulembo aendelee kutafuna mayai ya ikulu
 
Sifa ya kuchaguliwa uwe mwana ccm ni uwe domokayaa tu
 
kwa hiyo elimu yake haifai lakini mamilioni ya wanachama wenye elimu kama yake inafaa...
 
Mbowe ana degree ngapi? Kuchamba kwingi.......
 
Hivi uyo bint yeye ndio aliyetoroka kwa mume au aliachwa hata hivyo aliolewa mdogo sana pengine haukuwa uamuzi wake
 
Huu utakuwa ni uzushi wa hali ya juu kabisa kwani sasa ni nusu mwaka yupo ana mshauri rais mambo ya siasa kwani rais hakujua kuwa Bulembo hana elimu?
anamshauri nini wakati jumuiya yake anayoongoza iko taabani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…