Mtumaini Mungu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 879
- 1,084
Samahani mkuu, huyo genta ndio mtu gani?Genta ni hasara kwa taifa,sijui kwa nini akuzaliwa mjusi
Maana humu JF kila mtu anamtaja yeye, huku genta kule genta.. kafanyani?
Comotag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mkuu, huyo genta ndio mtu gani?Genta ni hasara kwa taifa,sijui kwa nini akuzaliwa mjusi
Popoma fulani ana ID tano ila mwandiko uleule na hajawahi andika point😀😀Samahani mkuu, huyo genta ndio mtu gani?
Maana humu JF kila mtu anamtaja yeye, huku genta kule genta.. kafanyani?
Comotag
DC wa Mwanga Mheshimiwa Abdallah Mwaipaya najua kuwa ulikuwa Radio One na ITV na ulikipenda mno Kipindi chako cha Mazungumzo ya Familia cha kila Jumapili ukiwa na Pacha wako Farhia Middle.
Kwa Mshangao kabisa leo nimekusikia nawe ukipiga Simu ( japo najua uliipiga ya Farhia Middle ) na Kuanza Kuchangia Mada za Masuala ya Mahusiano na mengineyo huku ukijisahau kuwa hivi sasa Wewe ni Mheshimiwa na Maadili hayakuruhusu hivyo.
Labda leo nikusaidie tu DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwamba kwa Hadhi yako kwa sasa unachoweza kufanya ni kuwa Msikilizaji wa hicho Kipindi ( ambacho kilikuwa chako na Farhia ) kabla ya Uteuzi wako na kama Mada ikikugusa unaweza kutuma Meseji ya Kusalimia na Kupongeza kwa Kipindi kizuri itatosha sana.
Lakini kwa hiki ulichokifanya leo tena DC mzima tunayetegemea upo busy Kushughulika na Changamoto tena za Watu wa huko Mwanga kupiga Simu Saa 3 Radio One, Kuchekacheka, kupiga Stori na Kuchangia sidhani kama kina Afya kwa Wadhifa huo ulionao sasa.
Ulishakuwa Radio One na ITV na sasa ni Mkuu wa Wilaya hivyo tafadhali achana na ya huku na Jikite na Majukumu yako hayo mapya, makubwa na mazito na kama labda bado unapenda kuendelea Kutangaza basi andika Barua ya Kuachia ngazi kwa Mama ( Rais ) Samia ili akutoe na urejee Radio One katika hicho Kipindi chako uendelee Kubebishana na Rafiki yako Kipenzi wa Redioni Farhia Middle.
Nawajua Watangazaji wengi tu tena waliokuwa Wazuri kukuzidi katika Media zingine ila tokea Wateuliwe hawana muda tena wa kupoteza Kufuatilia Vipindi vyao bali sasa wamejikita zaidi katika Kuwatumikia Wananchi na kuwaletea Maendeleo yao.
Huyo Mtangazaji Farhia Middle ambaye ndiye anapenda na Kukulazimisha sana uwe unachangia katika hicho Kipindi kuwa nae makini kwani atakuponza kama vile Samson alivyoponzwa na Delilah na utakuja Siku moja Kunikumbuka Mimi Mightier wa hapa JamiiForums.
Ni matumaini yangu kuwa utanielewa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwa huu Ushauri wangu, ila kama kuna mahala nimekukwaza kwa huu Uwazi wangu Kwako naomba Radhi sana.
Duh!Popoma fulani ana ID tano ila mwandiko uleule na hajawahi andika point😀😀
DC wa Maza...DC wa Mwanga Mheshimiwa Abdallah Mwaipaya najua kuwa ulikuwa Radio One na ITV na ulikipenda mno Kipindi chako cha Mazungumzo ya Familia cha kila Jumapili ukiwa na Pacha wako Farhia Middle.
Kwa Mshangao kabisa leo nimekusikia nawe ukipiga Simu ( japo najua uliipiga ya Farhia Middle ) na Kuanza Kuchangia Mada za Masuala ya Mahusiano na mengineyo huku ukijisahau kuwa hivi sasa Wewe ni Mheshimiwa na Maadili hayakuruhusu hivyo.
Labda leo nikusaidie tu DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwamba kwa Hadhi yako kwa sasa unachoweza kufanya ni kuwa Msikilizaji wa hicho Kipindi ( ambacho kilikuwa chako na Farhia ) kabla ya Uteuzi wako na kama Mada ikikugusa unaweza kutuma Meseji ya Kusalimia na Kupongeza kwa Kipindi kizuri itatosha sana.
Lakini kwa hiki ulichokifanya leo tena DC mzima tunayetegemea upo busy Kushughulika na Changamoto tena za Watu wa huko Mwanga kupiga Simu Saa 3 Radio One, Kuchekacheka, kupiga Stori na Kuchangia sidhani kama kina Afya kwa Wadhifa huo ulionao sasa.
Ulishakuwa Radio One na ITV na sasa ni Mkuu wa Wilaya hivyo tafadhali achana na ya huku na Jikite na Majukumu yako hayo mapya, makubwa na mazito na kama labda bado unapenda kuendelea Kutangaza basi andika Barua ya Kuachia ngazi kwa Mama ( Rais ) Samia ili akutoe na urejee Radio One katika hicho Kipindi chako uendelee Kubebishana na Rafiki yako Kipenzi wa Redioni Farhia Middle.
Nawajua Watangazaji wengi tu tena waliokuwa Wazuri kukuzidi katika Media zingine ila tokea Wateuliwe hawana muda tena wa kupoteza Kufuatilia Vipindi vyao bali sasa wamejikita zaidi katika Kuwatumikia Wananchi na kuwaletea Maendeleo yao.
Huyo Mtangazaji Farhia Middle ambaye ndiye anapenda na Kukulazimisha sana uwe unachangia katika hicho Kipindi kuwa nae makini kwani atakuponza kama vile Samson alivyoponzwa na Delilah na utakuja Siku moja Kunikumbuka Mimi Mightier wa hapa JamiiForums.
Ni matumaini yangu kuwa utanielewa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwa huu Ushauri wangu, ila kama kuna mahala nimekukwaza kwa huu Uwazi wangu Kwako naomba Radhi sana.
Kumbe, ila anaonekana mjuajiKatendwa mno na Wanaume na sasa anawachukia japo anaendeleaje tu Kuwa nao kwani Kibaiolojia Nyege za Mwanadamu hazina Commando wala Adabu.
Mimi sioni kama kuna ubaya wowote hapo. Umesema kipindi kilirushwa saa 3 usiku, ni wazi kuwa huo sio muda wa kuwa ofisini, kwa hiyo, anaweza akafanya jambo lolote la kijamii (social activities). Kama angefanya jambo hilo kipindi cha kazi, ungeweza kulaumu. Kumbuka nje ya muda wa kazi na yeye (Mwaipaya) anatakiwa kuwa sicial.DC wa Mwanga Mheshimiwa Abdallah Mwaipaya najua kuwa ulikuwa Radio One na ITV na ulikipenda mno Kipindi chako cha Mazungumzo ya Familia cha kila Jumapili ukiwa na Pacha wako Farhia Middle.
Kwa Mshangao kabisa leo nimekusikia nawe ukipiga Simu ( japo najua uliipiga ya Farhia Middle ) na Kuanza Kuchangia Mada za Masuala ya Mahusiano na mengineyo huku ukijisahau kuwa hivi sasa Wewe ni Mheshimiwa na Maadili hayakuruhusu hivyo.
Labda leo nikusaidie tu DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwamba kwa Hadhi yako kwa sasa unachoweza kufanya ni kuwa Msikilizaji wa hicho Kipindi ( ambacho kilikuwa chako na Farhia ) kabla ya Uteuzi wako na kama Mada ikikugusa unaweza kutuma Meseji ya Kusalimia na Kupongeza kwa Kipindi kizuri itatosha sana.
Lakini kwa hiki ulichokifanya leo tena DC mzima tunayetegemea upo busy Kushughulika na Changamoto tena za Watu wa huko Mwanga kupiga Simu Saa 3 Radio One, Kuchekacheka, kupiga Stori na Kuchangia sidhani kama kina Afya kwa Wadhifa huo ulionao sasa.
Ulishakuwa Radio One na ITV na sasa ni Mkuu wa Wilaya hivyo tafadhali achana na ya huku na Jikite na Majukumu yako hayo mapya, makubwa na mazito na kama labda bado unapenda kuendelea Kutangaza basi andika Barua ya Kuachia ngazi kwa Mama ( Rais ) Samia ili akutoe na urejee Radio One katika hicho Kipindi chako uendelee Kubebishana na Rafiki yako Kipenzi wa Redioni Farhia Middle.
Nawajua Watangazaji wengi tu tena waliokuwa Wazuri kukuzidi katika Media zingine ila tokea Wateuliwe hawana muda tena wa kupoteza Kufuatilia Vipindi vyao bali sasa wamejikita zaidi katika Kuwatumikia Wananchi na kuwaletea Maendeleo yao.
Huyo Mtangazaji Farhia Middle ambaye ndiye anapenda na Kukulazimisha sana uwe unachangia katika hicho Kipindi kuwa nae makini kwani atakuponza kama vile Samson alivyoponzwa na Delilah na utakuja Siku moja Kunikumbuka Mimi Mightier wa hapa JamiiForums.
Ni matumaini yangu kuwa utanielewa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwa huu Ushauri wangu, ila kama kuna mahala nimekukwaza kwa huu Uwazi wangu Kwako naomba Radhi sana.
popoma kama popomaDC wa Mwanga Mheshimiwa Abdallah Mwaipaya najua kuwa ulikuwa Radio One na ITV na ulikipenda mno Kipindi chako cha Mazungumzo ya Familia cha kila Jumapili ukiwa na Pacha wako Farhia Middle.
Kwa Mshangao kabisa leo nimekusikia nawe ukipiga Simu ( japo najua uliipiga ya Farhia Middle ) na Kuanza Kuchangia Mada za Masuala ya Mahusiano na mengineyo huku ukijisahau kuwa hivi sasa Wewe ni Mheshimiwa na Maadili hayakuruhusu hivyo.
Labda leo nikusaidie tu DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwamba kwa Hadhi yako kwa sasa unachoweza kufanya ni kuwa Msikilizaji wa hicho Kipindi ( ambacho kilikuwa chako na Farhia ) kabla ya Uteuzi wako na kama Mada ikikugusa unaweza kutuma Meseji ya Kusalimia na Kupongeza kwa Kipindi kizuri itatosha sana.
Lakini kwa hiki ulichokifanya leo tena DC mzima tunayetegemea upo busy Kushughulika na Changamoto tena za Watu wa huko Mwanga kupiga Simu Saa 3 Radio One, Kuchekacheka, kupiga Stori na Kuchangia sidhani kama kina Afya kwa Wadhifa huo ulionao sasa.
Ulishakuwa Radio One na ITV na sasa ni Mkuu wa Wilaya hivyo tafadhali achana na ya huku na Jikite na Majukumu yako hayo mapya, makubwa na mazito na kama labda bado unapenda kuendelea Kutangaza basi andika Barua ya Kuachia ngazi kwa Mama ( Rais ) Samia ili akutoe na urejee Radio One katika hicho Kipindi chako uendelee Kubebishana na Rafiki yako Kipenzi wa Redioni Farhia Middle.
Nawajua Watangazaji wengi tu tena waliokuwa Wazuri kukuzidi katika Media zingine ila tokea Wateuliwe hawana muda tena wa kupoteza Kufuatilia Vipindi vyao bali sasa wamejikita zaidi katika Kuwatumikia Wananchi na kuwaletea Maendeleo yao.
Huyo Mtangazaji Farhia Middle ambaye ndiye anapenda na Kukulazimisha sana uwe unachangia katika hicho Kipindi kuwa nae makini kwani atakuponza kama vile Samson alivyoponzwa na Delilah na utakuja Siku moja Kunikumbuka Mimi Mightier wa hapa JamiiForums.
Ni matumaini yangu kuwa utanielewa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwa huu Ushauri wangu, ila kama kuna mahala nimekukwaza kwa huu Uwazi wangu Kwako naomba Radhi sana.
saa 3Nyie ndio wale ukipewa ujumbe wa nyumba Kumi unatembea ukiwa umetanua mabega Kama ndege Vita.
Ukiwa Kiongozi haimaanishi unajiondoa kwenye mambo yote ya kijamii, Lazima u socialize na Watu, cheo ni kitu cha kupita tu jifunze Kwa Sabaya.
Hicho kipindi kingekuwa Kina maadhui mabaya yasiofaa kwenye jamii kingekuwa kinaruhusiwa?
...kumbe mrembo Farhia katendwa mno na Wanaume?[emoji53][emoji53]Katendwa mno na Wanaume na sasa anawachukia japo anaendeleaje tu Kuwa nao kwani Kibaiolojia Nyege za Mwanadamu hazina Commando wala Adabu.
We jamaa aisee, unaakili sana, sema tu kukuelewa lazima uwe na akili ya kiwendawazimu hivi! Mwenye kusikia na asikie, mwenye kuona na zone.DC wa Mwanga Mheshimiwa Abdallah Mwaipaya najua kuwa ulikuwa Radio One na ITV na ulikipenda mno Kipindi chako cha Mazungumzo ya Familia cha kila Jumapili ukiwa na Pacha wako Farhia Middle.
Kwa Mshangao kabisa leo nimekusikia nawe ukipiga Simu ( japo najua uliipiga ya Farhia Middle ) na Kuanza Kuchangia Mada za Masuala ya Mahusiano na mengineyo huku ukijisahau kuwa hivi sasa Wewe ni Mheshimiwa na Maadili hayakuruhusu hivyo.
Labda leo nikusaidie tu DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwamba kwa Hadhi yako kwa sasa unachoweza kufanya ni kuwa Msikilizaji wa hicho Kipindi ( ambacho kilikuwa chako na Farhia ) kabla ya Uteuzi wako na kama Mada ikikugusa unaweza kutuma Meseji ya Kusalimia na Kupongeza kwa Kipindi kizuri itatosha sana.
Lakini kwa hiki ulichokifanya leo tena DC mzima tunayetegemea upo busy Kushughulika na Changamoto tena za Watu wa huko Mwanga kupiga Simu Saa 3 Radio One, Kuchekacheka, kupiga Stori na Kuchangia sidhani kama kina Afya kwa Wadhifa huo ulionao sasa.
Ulishakuwa Radio One na ITV na sasa ni Mkuu wa Wilaya hivyo tafadhali achana na ya huku na Jikite na Majukumu yako hayo mapya, makubwa na mazito na kama labda bado unapenda kuendelea Kutangaza basi andika Barua ya Kuachia ngazi kwa Mama ( Rais ) Samia ili akutoe na urejee Radio One katika hicho Kipindi chako uendelee Kubebishana na Rafiki yako Kipenzi wa Redioni Farhia Middle.
Nawajua Watangazaji wengi tu tena waliokuwa Wazuri kukuzidi katika Media zingine ila tokea Wateuliwe hawana muda tena wa kupoteza Kufuatilia Vipindi vyao bali sasa wamejikita zaidi katika Kuwatumikia Wananchi na kuwaletea Maendeleo yao.
Huyo Mtangazaji Farhia Middle ambaye ndiye anapenda na Kukulazimisha sana uwe unachangia katika hicho Kipindi kuwa nae makini kwani atakuponza kama vile Samson alivyoponzwa na Delilah na utakuja Siku moja Kunikumbuka Mimi Mightier wa hapa JamiiForums.
Ni matumaini yangu kuwa utanielewa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwa huu Ushauri wangu, ila kama kuna mahala nimekukwaza kwa huu Uwazi wangu Kwako naomba Radhi sana.
Ma DC ni cheo fulani cha HOVYOO...na hawana kazi..DC wa Mwanga Mheshimiwa Abdallah Mwaipaya najua kuwa ulikuwa Radio One na ITV na ulikipenda mno Kipindi chako cha Mazungumzo ya Familia cha kila Jumapili ukiwa na Pacha wako Farhia Middle.
Kwa Mshangao kabisa leo nimekusikia nawe ukipiga Simu ( japo najua uliipiga ya Farhia Middle ) na Kuanza Kuchangia Mada za Masuala ya Mahusiano na mengineyo huku ukijisahau kuwa hivi sasa Wewe ni Mheshimiwa na Maadili hayakuruhusu hivyo.
Labda leo nikusaidie tu DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwamba kwa Hadhi yako kwa sasa unachoweza kufanya ni kuwa Msikilizaji wa hicho Kipindi ( ambacho kilikuwa chako na Farhia ) kabla ya Uteuzi wako na kama Mada ikikugusa unaweza kutuma Meseji ya Kusalimia na Kupongeza kwa Kipindi kizuri itatosha sana.
Lakini kwa hiki ulichokifanya leo tena DC mzima tunayetegemea upo busy Kushughulika na Changamoto tena za Watu wa huko Mwanga kupiga Simu Saa 3 Radio One, Kuchekacheka, kupiga Stori na Kuchangia sidhani kama kina Afya kwa Wadhifa huo ulionao sasa.
Ulishakuwa Radio One na ITV na sasa ni Mkuu wa Wilaya hivyo tafadhali achana na ya huku na Jikite na Majukumu yako hayo mapya, makubwa na mazito na kama labda bado unapenda kuendelea Kutangaza basi andika Barua ya Kuachia ngazi kwa Mama ( Rais ) Samia ili akutoe na urejee Radio One katika hicho Kipindi chako uendelee Kubebishana na Rafiki yako Kipenzi wa Redioni Farhia Middle.
Nawajua Watangazaji wengi tu tena waliokuwa Wazuri kukuzidi katika Media zingine ila tokea Wateuliwe hawana muda tena wa kupoteza Kufuatilia Vipindi vyao bali sasa wamejikita zaidi katika Kuwatumikia Wananchi na kuwaletea Maendeleo yao.
Huyo Mtangazaji Farhia Middle ambaye ndiye anapenda na Kukulazimisha sana uwe unachangia katika hicho Kipindi kuwa nae makini kwani atakuponza kama vile Samson alivyoponzwa na Delilah na utakuja Siku moja Kunikumbuka Mimi Mightier wa hapa JamiiForums.
Ni matumaini yangu kuwa utanielewa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwa huu Ushauri wangu, ila kama kuna mahala nimekukwaza kwa huu Uwazi wangu Kwako naomba Radhi sana.
Kupanda vy'eeite!Kazi za DC ni zipi?
Unataka asahau alikotoka?DC wa Mwanga Mheshimiwa Abdallah Mwaipaya najua kuwa ulikuwa Radio One na ITV na ulikipenda mno Kipindi chako cha Mazungumzo ya Familia cha kila Jumapili ukiwa na Pacha wako Farhia Middle.
Kwa Mshangao kabisa leo nimekusikia nawe ukipiga Simu ( japo najua uliipiga ya Farhia Middle ) na Kuanza Kuchangia Mada za Masuala ya Mahusiano na mengineyo huku ukijisahau kuwa hivi sasa Wewe ni Mheshimiwa na Maadili hayakuruhusu hivyo.
Labda leo nikusaidie tu DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwamba kwa Hadhi yako kwa sasa unachoweza kufanya ni kuwa Msikilizaji wa hicho Kipindi ( ambacho kilikuwa chako na Farhia ) kabla ya Uteuzi wako na kama Mada ikikugusa unaweza kutuma Meseji ya Kusalimia na Kupongeza kwa Kipindi kizuri itatosha sana.
Lakini kwa hiki ulichokifanya leo tena DC mzima tunayetegemea upo busy Kushughulika na Changamoto tena za Watu wa huko Mwanga kupiga Simu Saa 3 Radio One, Kuchekacheka, kupiga Stori na Kuchangia sidhani kama kina Afya kwa Wadhifa huo ulionao sasa.
Ulishakuwa Radio One na ITV na sasa ni Mkuu wa Wilaya hivyo tafadhali achana na ya huku na Jikite na Majukumu yako hayo mapya, makubwa na mazito na kama labda bado unapenda kuendelea Kutangaza basi andika Barua ya Kuachia ngazi kwa Mama ( Rais ) Samia ili akutoe na urejee Radio One katika hicho Kipindi chako uendelee Kubebishana na Rafiki yako Kipenzi wa Redioni Farhia Middle.
Nawajua Watangazaji wengi tu tena waliokuwa Wazuri kukuzidi katika Media zingine ila tokea Wateuliwe hawana muda tena wa kupoteza Kufuatilia Vipindi vyao bali sasa wamejikita zaidi katika Kuwatumikia Wananchi na kuwaletea Maendeleo yao.
Huyo Mtangazaji Farhia Middle ambaye ndiye anapenda na Kukulazimisha sana uwe unachangia katika hicho Kipindi kuwa nae makini kwani atakuponza kama vile Samson alivyoponzwa na Delilah na utakuja Siku moja Kunikumbuka Mimi Mightier wa hapa JamiiForums.
Ni matumaini yangu kuwa utanielewa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya kwa huu Ushauri wangu, ila kama kuna mahala nimekukwaza kwa huu Uwazi wangu Kwako naomba Radhi sana.
Tafadhali wakikujibu nitagi na Mimi kwani natamani mno kujua huyo Jamaa ni nani kwakuwa naona anapapatikiwa mno na Members hapa kama vile labda anawakojolea vizuri hivyo wanamuonea Wivu na Kumgombania pia.Samahani mkuu, huyo genta ndio mtu gani?
Maana humu JF kila mtu anamtaja yeye, huku genta kule genta.. kafanyani?
Comotag
Thanks for the Credits Chief be blessed.We jamaa aisee, unaakili sana, sema tu kukuelewa lazima uwe na akili ya kiwendawazimu hivi! Mwenye kusikia na asikie, mwenye kuona na zone.