Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
Mama yenu toka awe Mwenyekiti wa mchonga aliyechaguliwa kupitia form moja amebaki kuzurura huku chama chake kikimfia huku watetezi wake ni UVCCM na sukuma gang baada ya kukataliwa na vyama vyenye akili.Ni Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokea na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!
ndoto za wendawazimu zitatimia mkiwa mmekufa kwa sonona.Na hilo buyu la asali mbona tunaiyona chadema ya john cheyo muda si mrefu!
Labda alipewa special treatment siku mungu wenu alipompokea pale lumumba na matv mengimengi.Alipewa special treatment
Vipi EL aliporudi magambani, alipokelewa na nani?Ni Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokea na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!
Duh...!.Ni Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokea na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!
Jo kila utakapoamka asubuhi ujipige kifua mara tatu na kujiambia mimi ni mpuuziNi Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokea na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!
Hivi kumbe cdm bado ipo? Maana Nyimbo za kufa tumezisikia toka 2005Na hilo buyu la asali mbona tunaiyona chadema ya john cheyo muda si mrefu!
Kambaya kakabidhiwa Kanda maalumu ya " Mwambao wa Pwani" Tanga hadi Mtwara π€©π€©Jo kila utakapoamka asubuhi ujipige kifua mara tatu na kujiambia mimi ni mpuuzi
Kamati Kuu ya Chadema ilimpelekea Kadi nyumbani Kwake MasakiWanachama wote wa CHADEMA wana hadhi sawa. Wewe ni kipi kinachokufanya uamini kwamba Lowassa ana hadhi ya juu kuliko Kambaya!!??
Kipi kinakuumiza kwa Kambaya kupokelewa na Mh. Mbowe wewe Mwana CCM?Ni Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokea na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!
Chadema kwa sasa ni CHAUMA kenye keleleNi Ukweli'mchungu
Kambaya aliyetimuliwa CUF alitakiwa kupokea na akina Benson au John Mrema lakini siyo Mwenyekiti Mzee Mbowe
Hii inaonesha viwango vya Chadema kwenye siasa za Upinzani vimeshuka sana
Mlale unono!
Habari kama hii kwako na wale wenzako ndani ya chama cha mambuzi ilikuwa ni furaha, imekuwaje sasa hivi ni huzuni kuu? Maana unairipoti kwa unyonge kama vile unabakwaNa hilo buyu la asali mbona tunaiyona chadema ya john cheyo muda si mrefu!
Hadi nawewe great thinker limekuhusu hili? Tanzania wandishi wahabali njaa ndio inawaongoza zaidi.Duh...!.
P
Nilitegemea kuona kauli kama hii kutoka kwenu wafu Mungu awaangazie nuru huko mliko!Habari kama hii kwako na wale wenzako ndani ya chama cha mambuzi ilikuwa ni furaha, imekuwaje sasa hivi ni huzuni kuu? Maana unairipoti kwa unyonge kama vile unabakwa