Abdul mwana wa Rais Samia yuko nchini India kwenye msafara wa Rais

Kiongozi huandaliwa
 
Acheni mtoto pendwa Abdul adeke bhana.......hata nyinyi mlivyokuwa wadogo mlikuwa mkifuatafuata mama zenu nyuma kila mahala.
 
Hacheni Dula ale maisha nchi si ya mama yake na anko J.
 
Ukipata nafasi saidia ndugu kwanza halafu jirani. Hvi wewe muanzisha mada ni Mtanzania kweli? maana hii desturi yetu naona kama huijui
 
Huyu mwana ndie kinara ktk dipii wedi pia!
Kusema kweli 2025 tumwambie mama hAPANA!
 
Ukunguni kumbe maana yake ni kutokuwa na akili sawasawa!
 
Alikuwa kwenye mahafali ya mama yake ambaye ametunukiwa PhD wajameniii mbona kawaida!
 
Yeye sio mwajiriwa wa serikali, anakwendaje kufanya nini na kwa gharama za nani!
Tutarajie "dipii wedi" nyingine
 
Me nafikiri tungeanza kumjadili Obama kwanza maana alikua anaongoza kusafiri na watoto wake.

Acha wivu wewe. Sio dili.
 
Me nafikiri tungeanza kumjadili Obama kwanza maana alikua anaongoza kusafiri na watoto wake.

Acha wivu wewe. Sio dili.
Issue si kusafiri, issue ni kuunganisha familia na madili yanayogusa Taifa. Waafrica Wana laana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…