Hali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwambia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye anunuliwe!.
Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!
Hali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwamvia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye ale rushwa!
Hali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwamvia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye ale rushwa!.
Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Lakini hiki chama kinajulikana kuwa "kimchongo" miaka yote; tofauti tu ni kwamba kuna wakati kilionyesha dalili za kuwa na uwezekano wa kukikabili CCM ambacho siyo cha "mcongo" pekee, bali wamekuwa ni wakoloni kabisa kwa nchi!
CHADEMA kimsingi haijawahi kujulikana kuwepo kusimamia maslahi ya wananchi kwa ujumla wake.
Wengi tumekuwa tukiwahimiza watusaidie tu kumwondoa huyu "mtekaji" aliye tutia ndani nchi nzima hata tusijue jinsi ya kujinasua toka kwake.
Kwa bahati mbaya iliyoje kwetu, CHADEMA na wao wameona ni bora wawe sehemu ya kuwakandamiza waTanzania, kwa kushirikiana na CCM ya Samia.
Duh! Ila kapokea kiasi gani? Au je tetesi toka Twitter kuwa kapewa dola laki tano ni kiasi sahihi? Dola laki tano ukigeuza kuwa pesa madafu sio hela ya kitoto
Kila ukikaribia uchaguzi ndani ya CHADEMA,CCM hutumia wajinga wa mtandaoni kuanzisha uzushi ili kuivuruga CHADEMA na watu hao huwa watu tunaowaamini.
Mwaka huu ni zamu yako?
Ni vema sasa Lissu awataje wote waliochukua hela na waondoke Chadema waende huko CCM watuache na umasikini wetu tupambane vinginevyo ni kuwaachia chama chao. Mmoja aliyechukua hizo hela ni Wenje na ndiye aliyempeleka Abdul nyumbani kwa Lissu mwingine ni Peter Msigwa. Najua kwa vyovyote Lissu amerekodi mazungumzo yao ni wakati awalipue tu tujue moja.
Hali ndani ya Chadema si shwari. Kama imefikia hatua kiongozi mwandamizi ndani ya CHADEMA bila aibu anampeleka Abduli kwa Lissu kumshawishi achukue rushwa. Tena anamwamvia kuwa watu kibao ndani ya chama wamechukua na wewe chukua, hii ni hatari sana.
CCM wametumia technic ya kimafia sana, imewapa njaa makamanda, kisha inapenyeza "asali" kwa wachache. Basi makamanda mtifuano mtindo mmoja.
Wachache ambao ni waadilifu kama Lissu wanaanza kuonekana maadui maana wao wanamaanisha katika kuwakomboa watanzania dhidi ya uongozi mbovu wa CCM, kumbe wenzake wapo kimchongo zaidi ndani ya Chadema.
Halafu kuna watu wanasema eti Lissu anyamaze, akayaongelee "chumbani". Mnataka ubakaji wa haki uongelewe sirini?.
Msikilize Lissu hapa akieleza namna kiongozi mwandamizi ndani ya Chadema alivyotaka Lissu naye ale rushwa!.
Tena kumbe huko Chadema kuna Listi ya waliokula hela ya Abduli. Hatari sana hii!
Lakini hiki chama kinajulikana kuwa "kimchongo" miaka yote; tofauti tu ni kwamba kuna wakati kilionyesha dalili za kuwa na uwezekano wa kukikabili CCM ambacho siyo cha "mcongo" pekee, bali wamekuwa ni wakoloni kabisa kwa nchi!
CHADEMA kimsingi haijawahi kujulikana kuwepo kusimamia maslahi ya wananchi kwa ujumla wake.
Wengi tumekuwa tukiwahimiza watusaidie tu kumwondoa huyu "mtekaji" aliye tutia ndani nchi nzima hata tusijue jinsi ya kujinasua toka kwake.
Kwa bahati mbaya iliyoje kwetu, CHADEMA na wao wameona ni bora wawe sehemu ya kuwakandamiza waTanzania, kwa kushirikiana na CCM ya Samia.