Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Nimemsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Kinana akiwahutubia Wanaccm wenzake juu ya Maridhiano .Miongoni mwa Mambo aliyoyazungumzia ni Suala la RUZUKU ya CHADEMA .Kinana amesema Chadema Wamelipwa Tsh.BIL.2.7 lakini HAWAJATANGAZA
Najiuliza JE LINI CCM iliwatangazia WANACCM kuwa inapata RUZUKU kiasi gani?Binafsi naamini CCM inapata RUZUKU mara 10 YA RUZUKU ya CHADEMA lakini pamoja na RUZUKU kubwa bado CCM inatumua FEDHA za SERIKALI kuendesha Shughuli zake kwa mfano SHUGHULI za CHAMA magari karibu yote yanayokuwa kwenye Misafara ya VIONGOZI wake ni ya SERIKALI fuatilia ZIARA za Viongozi wa CCM kwa mfano hai ZIARA anazifanya MAKONDA una msafara wa Magari zaidi ya 30 na yote ni ya Serikali .CCM haiwezi kutangaza RUZUKU yake kwani nayo INAPIGWA badala ya KUNUNUA Magari wakayapaka Rangi ya Kijani ili tuyaone ktk MISAFARA ya MAKONDA
Tunakuomba KINANA tuambie CCM inapata RUZUKU kuasi gani na kazi ya RUZUKU ni nini?
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Najiuliza JE LINI CCM iliwatangazia WANACCM kuwa inapata RUZUKU kiasi gani?Binafsi naamini CCM inapata RUZUKU mara 10 YA RUZUKU ya CHADEMA lakini pamoja na RUZUKU kubwa bado CCM inatumua FEDHA za SERIKALI kuendesha Shughuli zake kwa mfano SHUGHULI za CHAMA magari karibu yote yanayokuwa kwenye Misafara ya VIONGOZI wake ni ya SERIKALI fuatilia ZIARA za Viongozi wa CCM kwa mfano hai ZIARA anazifanya MAKONDA una msafara wa Magari zaidi ya 30 na yote ni ya Serikali .CCM haiwezi kutangaza RUZUKU yake kwani nayo INAPIGWA badala ya KUNUNUA Magari wakayapaka Rangi ya Kijani ili tuyaone ktk MISAFARA ya MAKONDA
Tunakuomba KINANA tuambie CCM inapata RUZUKU kuasi gani na kazi ya RUZUKU ni nini?
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app