Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na Bado. Mzimu wa Magufuli utawamaliza wote walioshangilia kifo chake. Muda utajibu
 
Ila maza acha akome aliona walivyokuwa wafitini enzi za mwendazake yeye kajifanya bibi huruma
 
Hata mimi. Mtu wa muhimu kwa Samia ni Kikwete, mkwe wake sio heavyweight wala sio smart. Samia hana team mpaka sasa amekumbatia team ya Kikwete ambayo ndio hii kaanza kuivuruga.

Adui muombee njaa. Natamani wafeli vibaya mno wavurugane
point...........sawasawa.....sahihi..
 
In msoga voice "labda mambo yakiaribika sana" naona mambo ndo hayo yameshaanza kuparanganyika
Mzee wenu keshapigwa pingu tayari hamuwezi tena Mama Samia, njia nyeupe kwa Mama Samia 2025 hakika Mama kachagua fungu jema kuambatana na Paul C. Makonda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…