T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Option pekee ni Kikwete kumbeba Samia. Option ya Samia kwenda solo ni ngumu kwake, hana uwezo mkubwa kivile. Miaka yote yupoyupo tu. Atakuwa kama Joyce BandaKumuunga mkono inategemea kilichofanya wasiwe wamoja. Madaraka siyo mchezo na mchezo unaweza kubadilika muda wowote.