Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Amemaliza kazi aliyotumwa.
Kazi kwao watekelezaji.
 
Yusuf Makamba
January Makamba
Nape Nnauye
Kinana Abdulrahman

Hawa wanajuana sana ni kundi moja kwenye kupeana chapuo za uongozi

Kama ni mpasuko umetokea CCM kwetu ni habari njema ila kama wamewekwa pembeni kwa kazi maalumu kuelekea uchaguzi kwisha habari yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…