Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii si bure bali kuna jambo.

Huenda ule utenguzi wa wale jamaa unahusika.

CCM kimwili wako pamoja, ila kiroho wana makundi tena yanayotafunana kuelekea 2025.
Yaweza kuwa laana ya wanung'ung'unikao kwa matendo yao,waombwe radhi maisha yaendelee.
 
Nakumbuka mwaka 2017 baada ya Nape vuvuzela bumunda kufukuzwa uwaziri zilianza tetesi kwamba Kinana amesusa kufanya kazi ya ukatibu mkuu. Na kweli baada ya hapo alikuwa haudhurii vikao vingi vya kamati kuu na halmashauri kuu kwa taarifa kwamba anamuuguza mtoto wake India au yeye mwenyewe kuugua,ziliendelea kuwa tetesi mpaka siku alipojuzulu rasmi.
Coincidentally? Baada ya vijana wake aliofanya nao kazi kwa karibu 2015 kung'olewa kwenye uwaziri chini ya wiki moja naye anajiuzulu.
Je,inavyodaiwa kwamba waliondolewa kwa sababu ya mipango na yeye alikuwa sehemu ya mipango?
Je ni kweli ameamua kustaafu na kwa nini sasa sio jana au kesho?
Je kasusa baada ya kuona vijana wake wametemwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…