Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vijana Gani wasikuwa watulivu? Yani litoto linasema eti huwa kwetu tunakula vya kuiba!!unawezaje kukaa nalo sebureni?
 
Afadhali ..kilichobaki ni msiba ....wamfuate kipenzi cha Watz
 
Ilikuwa lazima aondoka. No way!! Tulishasema siku nyingi sisi tuliosoma Cuba!!
 
Apelekwe na mahakamani pia
 
Watu fulani wakikaa tu nje ya mfumo, basi ni lazima kutakuwa tena na "one term president".

Being a rogue is just a definition, it just depends on the state of art of the work craft.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…