CCM inameguka vipande vipande kuelekea 2025 ?
Chama kipya kuundwa kama cha Mzee Zuma wa South Afrika kutoa changamoto kwa chama dola tawala ?
Mzee Jacob Zuma amesababisha hadi serikali ya Umoja wa Kitaifa kuundwa South Africa
SOMA ZAIDI :
JACOB ZUMA NA MKUKI WA UMKHOTO WeSIZWE NDANI YA ANC Rais mstaafu Jacob Zuma wa South Africa aleta mtikisiko katika chama cha ANC baada ya kusema hataiunga mkono chama cha ANC bali atakiunga mkono chama kipya cha Umkhoto WeSizwe. Tamko hilo ni kuwaambia watu kuwa wale wote ambao wanaunga...