Absalom Kibanda awakosoa vikali CHADEMA, asema "Ukishakula nyama ya mtu huachi", Lema amjibu

Karma
 

Nimecheka, unaambiwa fomu zinatakiwa kujazwa na katibu mkuu, hadi leo ziko ofisini hazijajazwa. Ww unasema hadi upate udhibitisho wa forgery!
 
Kama idadi ya form toka Tume zipo zote kwa katibu mkuu wa chama hizo zilizorudishwa zilitoka wapi?
 
Wanaodai wabunge hao waligushi nyaraka kwa Nini CHADEMA hawakuwabuluza mahakamani kwa kosa hilo na badala yake wachukue mkondo waloeenda nao?
 
Maza kashammaliza huyu jamaa...kumbe ni mzee wa vibomu bomu ha ha ha mzee wa mizinga

Kibandaaaa !!! Kwishaa
 
Kibanda amepitwa na Wakati , Hana hoja
 
Kwa hiyo ni haki yao kufoji nyaraka ili mradi kupinga matumizi ya nguvu kudai haki?
Hii nchi ikija kupata maendeleo hata angalau kuwafikia Kenya basi ujue Mungu amekufa.
Nchi ina akili takataka sana.
Kama zako na wanao

USSR
 
Huu ni mtazamo wa mwandishi wetu, ila naona kakurupuka hajapata habari ya kilichojirai labda au anawakilisha mtazamo na shinikizo toka kwa kundi jingine, Uandishi unalipa umenikumbusha gazeti la Suns la uingereza. Unapeleka habari za uongo wanaipima je tunaemtuhumu akienda mahakamani kudai fidia atalipwa nini, je sisi tutaweza kulipa kwa kuuza hii habari? wakiona inalipa wapanda nayo hewani. Ukienda mahakamani wakuwekea mawakili wajuzi wa kupangua hoja utapambana nao hata wakishidwa wanakulipa na wao wantengenea faida yao.
 
Yaani mwandishi wa habari ana support kugushi nyaraka kubwa kama za ubunge. Tanzania tuna kazi hawa eti ndiyo wadai haki wetu !🤔
Hili hovyo linanunulika ndio maana waliling'oa jicho na kidole
 
Hahahahahahahahaahahaha.....
Aiseh!!
Vijana wa mbowe ni kiboko,kwa matusi tu..
 
Hii nchi ina watu wanafiki sana, washabiki wa siasa chafu, wajipendekezaji na tabia nyingine kama hizo. Cha labda angeanza kwa kuuleza umma mchakato wa uteuzi wa hao 19 uliendeshwaje, halafu ajiulize na kujijibu kuhusu uhalali wa wao kuwa wawakilishi wa chama chao ambacho kimeshawafukuza na kisheria chama chako kikishakufukuza na ubunge wako unakoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…