Absalom Kibanda awakosoa vikali CHADEMA, asema "Ukishakula nyama ya mtu huachi", Lema amjibu

Absalom Kibanda awakosoa vikali CHADEMA, asema "Ukishakula nyama ya mtu huachi", Lema amjibu

Kwa nini wamekimbilia kuwavua uwanachama wakati njia ya mkato ipo?
Ni adhabu ya usaliti kwa wasaliti.
Maadamu swala hili sasa limeenda mahakamani, nategemewa pia kuwaw ashirika wao nao karibu wataanikwa. Hukumu yao yaja.
 
Halima usikubali kuchomoka CDM kirahis toka na kiongozi yeyote yule
 
Kibanda anaomba hela kwa Maza; aiseee😀😀😀😀😀
 
Waandishi wa Habari wa Tanzania ni OMBAOMBA ndo maana wako biased hawaheshimu taaluma yao
Kama Chadema na mwenyeki wao wako bize kupita madukani kuomba omba na tunachukulia poa, tatizo liko wapi kwa waandishi wa habari ambao hata ruzuku hapati kama ilivyo wazee wa press.
 
Nimecheka, unaambiwa fomu zinatakiwa kujazwa na katibu mkuu, hadi leo ziko ofisini hazijajazwa. Ww unasema hadi upate udhibitisho wa forgery!
Uelewa wako ni mdogo sana! Unafikiri forgery inathibitishwaje mkuu?
 
Yaani mwandishi wa habari ana support kugushi nyaraka kubwa kama za ubunge. Tanzania tuna kazi hawa eti ndiyo wadai haki wetu !🤔
Kugushi huko unakujua ww,kama ww ni mbowe sema ukweli kama waligushi au uliwasinia,ila kama ni mnyika au heche au lema....Nenda kamuulizeni mbowe baraka za kwenda Bungeni wale wanawake 18 zilitoka wapi,karatasi ya uteuzi ilisainiwa na Nani na muhuli wa pale ni wa Chama gani,na Mdee kwa nn asaliti Chama na kwenda Bungeni kama ni kweli wamegushi nyaraka?
 
Mbona Kibanda ameandika kwa mihemko sana?

Anaposema; "Ni wazi kuwa viongozi wa Chadema waliwahukumu kabla ya vikao" anamaanisha nini?

Vile vikao vya KK na baadae Baraza Kuu hakuviona?

Ajabu Kibanda anazungumzia haki ya kina Mdee, haki ipi, ya kufoji? au ya mtu kuchomolewa gerezani kimya kimya usiku? Hawa waandishi na njaa zao wanataka tuwe na taifa lisiloheshimu sheria.

Sasa naanza kuamini, kuna kundi la waandishi wa habari [ wakujitegemea na wa vyombo mbalimbali] wamenunuliwa na serikali ili kuichafua Chadema, kwa kuwatetea wale wahuni 19 bungeni.

Yule wa kwanza ameshajulikana yupo humu ndani, huyu Kibanda ni wa pili, tusubiri wa tatu, wanne, .....

Samia na serikali yake ni corrupt, kuwalipa wale wahuni posho na mishahara kule bungeni, na kuwapa posho hawa waandishi njaa kueneza uzushi.Mbowe jitoe kwenye meza ya mazungumzo.
Hii ni awamu ya kumnunua kila mwenye jukwaa. Tofauti na kipindi kilichopita afisa ugavi safari hii hatoki chama tawala bali ndani ya vyombo. Kama inavyofahamika, vyombo ndivyo vilivyozalisha wale wasiojulikana waliotumia maguvu mengi sana na akili kidgo sana na kupelekea utekekaji, upotezaji watu na mauaji ya raia wema ikiwa ni pamoja na kesi ya hovyo ya ugaidi. Katika mazingira kama haya ambapo watu wa hovyo wasiokuwa na dhamana yoyote ya kiasiasa wala uelewa wowote kuhusu nini maana ya uongozi wa kisiasa wamepewa uamuzi wa kufanya lolote kulinda utawala wa uliopo, basi tutarajie vituko vingi sana.
 
Back
Top Bottom