Absalom Kibanda: Namuogopa Abdurahman Kinana

Kuna mdau aliandika hii thread jana lakini haraka ikatolewa na kusababishwa watu wengi kuikosa.,inafanana na haya ambayo yameandikwa hapa;

 
Tunajua kuwa mmetumwa humu jf ili kuhamisha ukweli wa serikali kuwadhuru wanahabari, watanzania tunatambua kuwa usalama wa wanahabari yapo hatarini kwa kuweka wazi uozo wa watawala
 
nafikiri kwa mtu ambaye ameisoma hiyo makala vizuri between lines ataona hichi kitu hapo 'ilikuwa imekaa kimahaba' mno!!in view ya kaliba ya Kibanda unaona kabisa kama kuna kitu kinampush aandike kwa mtindo aloandika!analysis ya WOWOWO ilikuwa fupi lakini ukiitafakari kwa umakini utaona hii kitu-the guy(Kibanda) wasnt writing this article akiwa na free mind!!
All in all tunamwombea kheri na quick recovery!
Kuwakamata culprits wa hiyo incident,i dont expect much from this gvt,the police etc!
 

Mkuu Nakusalut!! Ni ukweli usiopingika kwamba nchi hii sasa hivi imekuwa kama inaongozwa na Chadema!

Likitokea la Kutokea Chadema,hawatakawia kusema kesho kwamba hata Wake zao kuwa Wajawazito ni Chadema omewapiga Mimba!
Hata Mama zao kuolewa na Masikini,na Wao Kuzaliwa Masikini pia ni Chadema!!

MAGAMBA bwana kwa NGONJERA hawajambo.Serikali ni ya CCM, Polisi ni CCM, Usalama wa Taifa ni CCM! Sasa kama chadema wanaweza kufanya mambo haya na wasishugulikiwe, basi kuna haja ya CCM na Vibaraka wake kukaa Pembeni na Kuichia CDM, iongoze Dolla,kwani Serikali ya CCM imeshindwa!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 
Dentist wa Tembo, kweli anatisha...... Rangi ya nguo zake pia ni poa sana.

 
Ukiacha kufikiri kwa kutumia kichwa banaa!!!Michoshoooooooooooo!!!.Na yaelekea masaburi yanakuwashaUnatumalizia charge umeme wenyewe mgao.
 
Mkulu angalia vizuri hii thread kimantiki ukianzia na alieianzisha na wenye michango ya kukubaliana naye, utakuta ni wale wale waanzilish wa thread za namna hii zilizoanzishwa kipindi cha marehemu Mwangosi na kupigwa kwa Ulimboka!. Kuna id zingine huwa zinaibuka janvini kipindi cha matukio kama haya binafsi nazitambua!
 
Kuleta hapa jamvini si suluhu la pekee bali mnatakiwa muhisaidie paolisi kwa kupeleka ushahidi wenu hili ufanyiwe kazi ikiwezekana tukutane mahakamani!
yap, lakini vitu kama hivi vinaweza kutoa dira. Mleta mada anastahili sifa na hata wengine wenye hints kama hizi waziweke jamvini ili tuweze sasa kuepukana na propaganda za hapa na pale.
 
Well said!

 
Kibanda ameumizwa Ccm wanatake oportunity, huku ni kukosa ubinadamu..nakumbuka ile issue ya Chacha Wangwe walifanya hayahaya, tunashukuru Mungu wanatarime waliwadhalilisha vibaya sana na uchafu wao ukafia hapo
 
Wewe thatha haya unayoyaleta yanahitaji Ushahidi usio na shaka hata chembe , ukiambiwa thibitisha hutaweza , Hizi ID'S fake zisitufanye kuandika upuuzi wowote tu , ni kweli Jf tupo huru kuandika chochote , lakini siyo uongo , Mbowe amdhuru Kibanda kwa lipi ? Mbona pamoja na Kibanda kuondoka Tz Daima linaendelea ? Uzushi kama huu ndiyo unasababisha Jf inadharauliwa , hivi baada ya uchunguzi Ikibainika kwamba ndugu thatha umeleta Uzushi tukufanyeje ? Unayajua yaliyomkuta Le Mutuz na uzushi kama huu ?
 
Huyo thatha hajui maana ya hayo unayo muandikia na hajui mdahara yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…