Account gani ya bank itatunza pesa zangu mpaka 2020 bila ku-draw??

mwanaNjilo

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2018
Posts
277
Reaction score
195
Habar za humu wanajamvi?!
Naomben msaada wenu kwenye hili. Nataka niwe na-deposit nusu ya mshahara wng wa kila mwezi kwny account ya benk. Lakin bado cjajua kama kuna benk inayotoa huduma ya account ambayo inamzuia customer kutokutumia pesa anayoiweza once akishai-deposit kwny account hyo kwa mujibu wa taratibu zilizowekw na benk!

Nawasilisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Account zote zinatunza pesa ukitaka kuchukua au kutochukua hiyo control unayo wewe mwenye account.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok! Hilo nalijua...lkn niliwah kuskia kwmba kuna benk inatoa a dedicated account for deposit transactions tu for a specified period of time then unaweza kuitoa (something like: account ya malengo...cna uhakika!)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok! Hilo nalijua...lkn niliwah kuskia kwmba kuna benk inatoa a dedicated account for deposit transactions tu for a specified period of time then unaweza kuitoa (something like: account ya malengo...cna uhakika!)

Sent using Jamii Forums mobile app
NBC
Wana akaunt ya malengo
Watembelee tawi lao lolote
Uonane na meneja ikibidi ili upate full data

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bank Account hio unaweza pata TIB Corporate Bank,Nenda katika Matawi yao ,DSM,Mwanza ,Arusha na Mbeya
Product inatiwa Jipange Fix au hata Jipange Flex zaweza kukufaa
 
Mimi nimedeposit milion 50 CRDB kwa mkataba wa miaka mitatu kila mwezi napewa 500,000/= na baada ya miaka mitatu narudishwa hamsini yangu au ni-renew mkataba
Fafanua kidogo, ni aina gani hiyo ya mkataba? Yaani kila mwezi unadraw 500,000/= kwa kuweka milion 50 tu?!

Vinginevyo nashawishika kusema si kweli, hata fixed account hupati faida hiyo.
 
Fafanua kidogo, ni aina gani hiyo ya mkataba? Yaani kila mwezi unadraw 500,000/= kwa kuweka milion 50 tu?!

Vinginevyo nashawishika kusema si kweli, hata fixed account hupati faida hiyo.
usishawishike kusema ni uongo na usikariri kwamba fixed deposit ndo kila kitu siku hizi unaeza enda benki ukanegotiate na meneja kila kitu unavyowaza wewe na mkatengeneza contract yenu for mutual benefits sharti tu uwe na mzigo wa maana ,Mara ya kwanza niliweka Fixed A/C nikaona faida ni ndogo nikazitoa ndio banker mmoja akaniuma sikio kuhusu THAMANI ACCOUNT.
 
Mkuu fixed acc returning rates zao zipoje? Au inategemeana na bank husika?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thamani account?! Na unaongea na manager tu unamaliza deal? Nitafuatilia ni prove hili. Maana uwekezaji wa milioni 50 bank kwa miaka mitatu unakupatia faida ya milioni 18 ni zaidi ya deal kwangu.
 
Mpunga, kila msimu unapoisha unauza na kununua tena believe hadi 2020 account itakuwa imenona sana
Saivi fixed account ni mazao. Especially mpunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…