‘Acha kazi nitakutunza’ imeliza wengi

‘Acha kazi nitakutunza’ imeliza wengi

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Nimekuwa nikisoma visa mbalimbali kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu yaliyowakuta wanawake walioambiwa “Acha Kazi nitakutunza”.

Baada ya kuacha sasa wengi wao wameambulia mateso kutoka kwa wenza wao.

Ni kweli kuna umuhimu wa kumfuata mwenza alipo au alipohamishiwa lakini si kwa kuacha kazi uliyoteseka kuipata.

Hivyo basi tuwe makini sana katika kufanya maamuzi.😜
 
Screenshot_20240616-114906~2.jpg
 
Wahakikishe wakiwa wana acha kazi wawe na kingine chakufanya, kwanza mtu mzima unaishije bila kuingiza hata shi-Mia?

Sio kwa ubaya, kwanza unamuamini vipi mtu kuwa atakutunza kwa hela zake hadi mwisho wa maisha yenu, akichoka je? maradhi?

Vipi kuhusu afya ya akili, unaweza kufanya routine ile ile ya kazi za nyumbani asubuhi hadi jioni kila siku? Kama una wa dada wa kazi je utaweza kukalisha tako tu bila kushughulisha mwili muda wote? Maswali ni mengi sana ya wahusika kujiuliza kabla hawatekeleza walichoombwa.

However, Wanawake tujitahidi kufanya/kuchagua kazi ambazo zitatufanya tushiriki kwenye malezi ya watoto na familia walau kwa 70%.
 
Kwanza mwanaume asiyetaka mwanamke anayefanya kazi hafai.

Na kuacha kazi ni mtego, ukiacha tu ujue umekwisha. Hakuna namna maisha yanaweza kuwa sawa kwa mwanamke aliyeacha kazi kwa shinikizo la mume/mwanaume.

Hivi unaachaje kazi? Hao ndio wa kuchapwa viboko.
 
Kazi na mahusiano ni vitu viwili tofauti.

Kunae ness hapa ana batch ya ness kuchukulia muhimbili hapo.amepata ajila mwaka huu.

mume wake mfanyabiasha wa vinywaji mume kazuia mke na mke ajaenda ktumikia wananchi huko.na hana mpango na hiyo ajila.
Tumewapa mwaka mmoja tuone hatima yake.

Wanawake mmelogwa na nani?
 
Back
Top Bottom