binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Naelewa concern yako, msisitizo nimeuweka kwenye kujitahidi.Kazi za namna hii hazipo si duniani tu bali hata mbinguni. Me akufungulie biashara itayoingiza kipato 30% chako, 30% familia na asilimia 40% kuiboresha na isiwe mbali na makazi ya Watoto.
Ke huwa mnapeleka wapi pesa zenu mkiwa katika familia?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Suala la pesa ni gumu mimi kulijibia kwa mujibu wa wanawake wenzangu.