Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kashaacha wivuMimi alipo nioa alianza kuleta wivu wake eti acha hii biashara utulie nyumbani kila kitu utapata nikasema “We naijua hiyo”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashaacha wivuMimi alipo nioa alianza kuleta wivu wake eti acha hii biashara utulie nyumbani kila kitu utapata nikasema “We naijua hiyo”
Hizo ni story za vijiweni. Leta twakimu hapa.Career na marriage ni vitu v2 tofauti. Unapaswa kuchagua kimoja. Ushajiuliza why career women wengi ni single mama?
HapanaKashaacha wivu
Ujichanganye kikulambe 🤣🤣🤣Mimi alipo nioa alianza kuleta wivu wake eti acha hii biashara utulie nyumbani kila kitu utapata nikasema “We naijua hiyo”
Ndio maana dunia ya sasa ndoa za kweli hakuna , mke anaishi huko na mume huko kisa kazi bora muachane .Yaani wazazi wanajipinda kumpa binti yao elimu bora toka shule ya msingi mpaka chuo kikuu, tena unakuta wazazi wengine wanalipa ada mpaka ya chuo ili binti yao asisumbuke na mkopo, binti kapata kazi na uko kazini anatokea msela anamuahidi ndoa alafu eti anamwambia aache kazi amfungulie MPESA. Aise hii inauma sana sio kwa binti tu bali wazazi waliogharamia elimu ya huyo binti. Wakati huo huo kama mzazi hana kipato na binti kapata mchumba wakati bado anahitaji elimu utasikia wanasema mchumba hasomeshwi. Mabinti kiukweli wananyanyasika.
Na wanavumilia yote huko ndaniNdio maana siku hizi, wasichana majobless wanaokaa nyumbani kwao kwa wazazi wao na wazazi wao wanaolewa mno
Wengi tuStori za vijiwe vya kahawa hizo, kuna mwanaume ambaye anataka mke asiyefanya kazi karne hii!!!
PoleHapana
Kasema mpaka kanyoosha mikono 🙌🏻🙌🏻Ujichanganye kikulambe 🤣🤣🤣
Wapo kibao ambao hawajielewi. Kuna member humu ndani amesema eti wanaoolewa ni ambao hawana kazi.Stori za vijiwe vya kahawa hizo, kuna mwanaume ambaye anataka mke asiyefanya kazi karne hii!!!
Wengi wanadai maisha hayo ni Raha tupu. Hakuna shidoNa wanavumilia yote huko ndani
HakikoWengi wanadai maisha hayo ni Raha tupu. Hakuna shido