binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Naelewa concern yako, msisitizo nimeuweka kwenye kujitahidi.Kazi za namna hii hazipo si duniani tu bali hata mbinguni. Me akufungulie biashara itayoingiza kipato 30% chako, 30% familia na asilimia 40% kuiboresha na isiwe mbali na makazi ya Watoto.
Ke huwa mnapeleka wapi pesa zenu mkiwa katika familia?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
September 1995 Feminism conference in Beijing China though not all women were negatively affected by that event till causing their marriage breaching and raising high ophans and streets children occurance numbers in this 21st century.Kazi na mahusiano ni vitu viwili tofauti.
Kunae ness hapa ana batch ya ness kuchukulia muhimbili hapo.amepata ajila mwaka huu.
mume wake mfanyabiasha wa vinywaji mume kazuia mke na mke ajaenda ktumikia wananchi huko.na hana mpango na hiyo ajila.
Tumewapa mwaka mmoja tuone hatima yake.
Wanawake mmelogwa na nani?
Ila comments za humu ndo nimegundua jf imejaa wanafiki🙌 si kila siku hapa napopoana na watu wanaotukana wanawake ambao wanafanya kazi wanaita mafeminist😂 kumbe mnawapenda ee na wale umbwaa wanaosemaga eti mwanamke atulie nyumbani @theunpaidstoryteller na wajinga wenzie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi alipo nioa alianza kuleta wivu wake eti acha hii biashara utulie nyumbani kila kitu utapata nikasema “We naijua hiyo”
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni sawa na ile unaambiwa "naingiza kichwa tu", kuja kushtuka imekula.
Akili kumkichwa.
Watu tunatofautiana. Mimi mwanamke asiyefanya kazi hapana. Lazima awe busy. Nagombana sana na binti yangu ambaye huwa hataki kufanya kazi. Sasa mtoto amefikia umri wa day care sijui atasingizia niniKwanza mwanaume asiyetaka mwanamke anayefanya kazi hafai.
Na kuacha kazi ni mtego, ukiacha tu ujue umekwisha. Hakuna namna maisha yanaweza kuwa sawa kwa mwanamke aliyeacha kazi kwa shinikizo la mume/mwanaume.
Hivi unaachaje kazi? Hao ndio wa kuchapwa viboko.
Umekumbukia parefu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]