Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Hii point muhimu sana. Mwanaume ndo anatakiwa amtongoze mwanamke na sio mwanamke kulazimisha.
 
Mkuu sasa nimepata picha.
 
Kama ulikuwa na afya, ( mnene ) na sasa umekondeana! tafuta namna ya kurudisha mwili wako! hakikisha hicho kishundu unapokuwa unadeki, Mr ahisi kuna earth quick! huyo bwana atakuwa anawahi kurudi nyumbani, mpaka utashangaa! THANK ME LATER!!!
 

Kwenye haya kunakua na kipindi cha mpito mpemda na usichoke kumweka karibu,wanaume tunamengi tunapitia tunapotoka kwenye nyumba zetu huwez jua

Jaribu kuakaribu ukichunguza shida ni nn hasa.
 
... mwambie akuongezee mke mwenzio,Ili mfahamiane tu...
 
Dada hayo mambo kwenye ndoa mbona kawaida sanaaaa??? Kuwa mbunifu ktk njia za kutatua changamoto usiishie kumuuliza tu mbo a sikuiz umebadilika???
 
Njoo kwangu baby. Cha muhimu kutunziana siri tu na heshima.
 
Msihi Mungu akufunulie yaliyojificha nyuma ya yale afanyayo kwa siri.

Lazima kuna mchepuko siyo bure.


Pole mwaya,

Sikilizia ndani yako unaona uamue vipi kwenye hali hiyo.

Tia akili.

Kama unapakushika anza mbele!

Hapo penzi hakunaga tena!

Yani hata ukienda kwenu Mwaka hajali wala nini?! Lol.

Yani huyo mchepuko Mungu atakulipia lakini mumeo naye kayataka pia!

Maana mchepuko mpaka akuroge urogeke ni mpaka Mwanaume uanze kujiweka karibu na mchepuko na uchukuliwe inputs!
 
Dem tulia utongozwe acha kiherehere ona sasa ashakuchoka na hujaolewa akioa ndio kabisaa na nyumban anakimbia
 
Dyadya

Hawa mbuzi wakishaanza hivi ujue wanachepuka huko nje....

Tafuta pesa...

Kuwa smart

Ishi maisha yako

Wekeza kivyako

Pendeza...


Zaidi ya yote jivutie mwanaume aliyemzidi mpaka dhambi akukojoleshe.....ukirudi home mkavu stress free.

Kikubwa usikamatwe ukamapa sababu.....(talaka itakuhusu)

●●●●ignore wale watakaokuja kutoa povu baada ya kukwambia tafuta wa kukukojoza!!!
 
Kwa maelezo yako..sisi Sigma Male tuko hivyo..mzoe tu..tunataka sana kuwa huru..hapo unavyokuwa nae ni kama unambana sana..tunapenda kuwa wenyewe..ingia YouTube utanielewa na utamuelewa mumeo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hapo kwenye kukojozwa na aliyemzidi dhambi hubby ndoumeniacha hoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…