Achana na mapungufu ya mtu angalia umuhimu wake kwako

Achana na mapungufu ya mtu angalia umuhimu wake kwako

Wanaume msidanganyike na hawa singo maza waliozalishwa na kutelekezwa kwasabab ya upumbav wao... Mwanaume atabaki kuwa mwanaume, kama ulifanya makosa ukaoa na huyo mwanamke anakusumbua fukuza akapauke mbali huko, tafuta mwanamke mwingine zalisha na yeye akileta fyokofyoko fukuza... Hawa singo maza wanajua walishaharibu maisha yao sasa wanashawish na wanawake wenzao wafanye upumbav waharibikiwe ili wasichekane... Hata vitabu vya dini vimeweka wazi kwa mifano mwanamke chombo cha starehe, maana yake asikusumbue...
All in all KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
 
Wanaume msidanganyike na hawa singo maza waliozalishwa na kutelekezwa kwasabab ya upumbav wao... Mwanaume atabaki kuwa mwanaume, kama ulifanya makosa ukaoa na huyo mwanamke anakusumbua fukuza akapauke mbali huko, tafuta mwanamke mwingine zalisha na yeye akileta fyokofyoko fukuza... Hawa singo maza wanajua walishaharibu maisha yao sasa wanashawish na wanawake wenzao wafanye upumbav waharibikiwe ili wasichekane... Hata vitabu vya dini vimeweka wazi kwa mifano mwanamke chombo cha starehe, maana yake asikusumbue...
All in all KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
Onhoo,yamekuwa hayo tena.
 
Au nasema uongo?
Tazama ana umuhimu gani kwako...kama hana faida yoyote kwako....huyo hakufai....unataka mume mwajibikaji kwa familia nae anatimiza ipasavyo ila ana tatizo la kupenda michepuko....usimwache bali mkumbushe kucheza salama....kinyume chake kwa mwanaume umepata mke uliyekuwa unamtaka hakubani,anakutunzia watoto vyema ila ana gubu,maneno hayamwishi usimwache jifunze kuondoka home kwa muda akianza kelele usisahau na vibao vya kushtukiza.

NB: Mwanamke Malaya hafanani na mwanaume Malaya....mtapinga ila ndo ukweli...
Mwanamke hawi na ndoa nyingi....akipata ya nje wewe wa ndani utajuta.[emoji109]
Walikupa maua yako? Njoo bobo.
 
Yeah, nalala mapema niwahi kesho kazini
Kufanya kazi ni jambo jemaz una heri una uwezo na nafasi ya kufanya hivyo. Hata hivyo hii ni kazi pia. Unanipa dakika ngapi za faragha?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kufanya kazi ni jambo jemaz una heri una uwezo na nafasi ya kufanya hivyo. Hata hivyo hii ni kazi pia. Unanipa dakika ngapi za faragha?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbili zinatosha aisee,mlinz mnoko kweli
 
Au nasema uongo?
Tazama ana umuhimu gani kwako...kama hana faida yoyote kwako....huyo hakufai....unataka mume mwajibikaji kwa familia nae anatimiza ipasavyo ila ana tatizo la kupenda michepuko....usimwache bali mkumbushe kucheza salama....kinyume chake kwa mwanaume umepata mke uliyekuwa unamtaka hakubani,anakutunzia watoto vyema ila ana gubu,maneno hayamwishi usimwache jifunze kuondoka home kwa muda akianza kelele usisahau na vibao vya kushtukiza.

NB: Mwanamke Malaya hafanani na mwanaume Malaya....mtapinga ila ndo ukweli...
Mwanamke hawi na ndoa nyingi....akipata ya nje wewe wa ndani utajuta.[emoji109]
Kabisa Cc ephen_
 
Back
Top Bottom