Achana na mapungufu ya mtu angalia umuhimu wake kwako

Achana na mapungufu ya mtu angalia umuhimu wake kwako

Au nasema uongo?
Tazama ana umuhimu gani kwako...kama hana faida yoyote kwako....huyo hakufai....unataka mume mwajibikaji kwa familia nae anatimiza ipasavyo ila ana tatizo la kupenda michepuko....usimwache bali mkumbushe kucheza salama....kinyume chake kwa mwanaume umepata mke uliyekuwa unamtaka hakubani,anakutunzia watoto vyema ila ana gubu,maneno hayamwishi usimwache jifunze kuondoka home kwa muda akianza kelele usisahau na vibao vya kushtukiza.

NB: Mwanamke Malaya hafanani na mwanaume Malaya....mtapinga ila ndo ukweli...
Mwanamke hawi na ndoa nyingi....akipata ya nje wewe wa ndani utajuta.[emoji109]
Duh maneno mazito sana ila yanaeleweka vizurii mno
 
😆😆🐒
Binafsi huwa namuambia wife anaumuhimu mkubwa sna tena sna ktk maisha yng na familia kw ujumla lkn lazima ajue kw namna yoyote ile asipokuwepo maisha lazima yaendelee. Wako watu walilia na kugalagala wakiuliza wataishije baada ya kuondokewa na wapendwa wao lkn now wamesahau. Kwahiyo usivumilie tabia mbovu za mtu kwa kuziita ni madhaifu kwakuwa tu anakufaa kw namna fulani.
Madhaifu kwl tunaweza kuvumiliana lkn c tabia mbovu
 
Au nasema uongo?
Tazama ana umuhimu gani kwako...kama hana faida yoyote kwako....huyo hakufai....unataka mume mwajibikaji kwa familia nae anatimiza ipasavyo ila ana tatizo la kupenda michepuko....usimwache bali mkumbushe kucheza salama....kinyume chake kwa mwanaume umepata mke uliyekuwa unamtaka hakubani,anakutunzia watoto vyema ila ana gubu,maneno hayamwishi usimwache jifunze kuondoka home kwa muda akianza kelele usisahau na vibao vya kushtukiza.

NB: Mwanamke Malaya hafanani na mwanaume Malaya....mtapinga ila ndo ukweli...
Mwanamke hawi na ndoa nyingi....akipata ya nje wewe wa ndani utajuta.[emoji109]
Hapo kwenye mchepuko hapoooo.
 
Niliwahi kuwa na akili hiyohiyo mpaka siku nilipolia kwa sauti kupiga mayowe huku najiziba mdomo watu wasisikie....
Ushauri wangu kwa wote: Tabia mbaya hazivumiliki hata awe milionea utalia na kusaga meno siku ikikufika
BInti usiingie kwenye mahusiano wala ndoa sababu tu anaweza kukulisha na kutunza familia ukaignore tabia za hovyo AKA mapungufu
Darling utajutia hadi unaingia kaburini
 
Niliwahi kuwa na akili hiyohiyo mpaka siku nilipolia kwa sauti kupiga mayowe huku najiziba mdomo watu wasisikie....
Ushauri wangu kwa wote: Tabia mbaya hazivumiliki hata awe milionea utalia na kusaga meno siku ikikufika
BInti usiingie kwenye mahusiano wala ndoa sababu tu anaweza kukulisha na kutunza familia ukaignore tabia za hovyo AKA mapungufu
Darling utajutia hadi unaingia kaburini
Mbona maskini ndo wanajeuri sana jamani...kauli mbaya na dharau mdomoni ndo zimewajaa wao...sijui bora nani.. Daa
 
Au nasema uongo?
Tazama ana umuhimu gani kwako...kama hana faida yoyote kwako....huyo hakufai....unataka mume mwajibikaji kwa familia nae anatimiza ipasavyo ila ana tatizo la kupenda michepuko....usimwache bali mkumbushe kucheza salama....kinyume chake kwa mwanaume umepata mke uliyekuwa unamtaka hakubani,anakutunzia watoto vyema ila ana gubu,maneno hayamwishi usimwache jifunze kuondoka home kwa muda akianza kelele usisahau na vibao vya kushtukiza.

NB: Mwanamke Malaya hafanani na mwanaume Malaya....mtapinga ila ndo ukweli...
Mwanamke hawi na ndoa nyingi....akipata ya nje wewe wa ndani utajuta.👊
Nakubali Mia kwa Mia,lakini Mwanaume akudharau,akuite MCHAWI,akwambie mtoto wake humpendi.akwambie wewe mzee,Mara sijui una jipya gani+kuchepuka aiseeee nakimbia.
Mara Mia achepuke lakini asiwe na gubu Wala maneno ya karaha,mbona unadumu Hadi kifo
 
Nakubali Mia kwa Mia,lakini Mwanaume akudharau,akuite MCHAWI,akwambie mtoto wake humpendi.akwambie wewe mzee,Mara sijui una jipya gani+kuchepuka aiseeee nakimbia.
Mara Mia achepuke lakini asiwe na gubu Wala maneno ya karaha,mbona unadumu Hadi kifo
Yeah,kwa kweli kuna mambo hayavumiliki cute
 
Niliwahi kuwa na akili hiyohiyo mpaka siku nilipolia kwa sauti kupiga mayowe huku najiziba mdomo watu wasisikie....
Ushauri wangu kwa wote: Tabia mbaya hazivumiliki hata awe milionea utalia na kusaga meno siku ikikufika
BInti usiingie kwenye mahusiano wala ndoa sababu tu anaweza kukulisha na kutunza familia ukaignore tabia za hovyo AKA mapungufu
Darling utajutia hadi unaingia kaburini
Kwa kweli utateseka sanaa.hakuna kitu kinaumiza Kama maneno ya hovyo.Ukijiuliza umefanya nini hupati jibu
 
Binafsi huwa namuambia wife anaumuhimu mkubwa sna tena sna ktk maisha yng na familia kw ujumla lkn lazima ajue kw namna yoyote ile asipokuwepo maisha lazima yaendelee. Wako watu walilia na kugalagala wakiuliza wataishije baada ya kuondokewa na wapendwa wao lkn now wamesahau. Kwahiyo usivumilie tabia mbovu za mtu kwa kuziita ni madhaifu kwakuwa tu anakufaa kw namna fulani.
Madhaifu kwl tunaweza kuvumiliana lkn c tabia mbovu
Nimekuelewa mkuu,asante
 
Mbona maskini ndo wanajeuri sana jamani...kauli mbaya na dharau mdomoni ndo zimewajaa wao...sijui bora nani.. Daa
Sio maskini wala tajiri , kuna mapungufu yayavumiliki my dear
Na ndoa sio sehemu ya kufundishana kuacha tabia za hovyo
 
Sio maskini wala tajiri , kuna mapungufu yayavumiliki my dear
Na ndoa sio sehemu ya kufundishana kuacha tabia za hovyo
Kabisa,kama MTU ameingia nayo kumbadilisha ipo kaz
 
Back
Top Bottom