Achana na Toyota IST chukua huyu mnyama

Achana na Toyota IST chukua huyu mnyama

HP matters
Aisee Torque ndio mchezo wote..
Kwenye Stop n Go.. Torque ndio muhimu.. Maana Stop n Go utaoperate kwenye lower rpms..
HP umuhimu kwenye higher speed.. Hapo ndio unaona advantage yake..!

Gari ya diesel.. Nyingi ukiweka 1st gear bila hata acceleration gari itamove..Torque kubwa kwenye low rpms..!
 
I think umewalenga wanaonunua Ist new model maana hiyo ndio at least bei yake inalingana na hii ila you get value for money kwenye audi a1 kuliko kwenye hiyo IST new model...

Urahisi wa ist new model ni kwenye kupatikana spea ila bei ya spea bado ni mlima.

Ukiua gearbox andaa 2m kwenye hiyo IST new model...Hapo sijapigia hesabu hela ya ufundi plus laki 2 na upuuzi ya kununua Oil ya CVT gearbox....
Sasa unaanzaje kuua gearbox. unataja vitu ambavyo ni nadra kuharibika katika matumizi ya kawaida.labda ungesema bei ya shockups,bush,breakpads,bearings,plugs etc.yaani vile vitu vinavyobadilishwa mara kwa mara
 
JituMirabaMinne
naona kuna M5 inauzwa 19milion 😂😂😂😂😂..
Bavaria
Screenshot_20220108_160725_com.instagram.android.jpg
 
Hii ni inferiority mkuu.

Mimi hakuna sehemu nilimention turbo.

Au unahisi engine zote za Wajerumani zina turbo ndio maana zinajiweza?

Haya twende

Kuna engine ya VW inaitwa CHYB ina Cc 999, Haina turbo na wala siyo FSI. Imefungwa kwenye Baadhi ya Polo lakini pia imefungwa Kwenye Audi A1 toleo la UK.

Hiyo engine ina produce 74HP.

Tuje kwa 2NZ, Pamoja na kwamba ina Cc1290, Almost Cc 300 zaidi ya hiyo CHYB lakini inazalisha 84HP tu.

Mbaya zaidi kwenye Audi au VW hiyo engine inafungwa na 5 speed transmission wakati kwenye IST inafungwa na 4 speed transmission.

Sijui nimeeleweka?

Comparison yangu ilikuwa Cc1000 za mjerumani kwa Cc1200 za mjapani. Comparison ya hapa kuna gape la Cc300....
Wingi wa gia umefanyaje sasa hadi unasema mbaya zaidi😁😁 ni sawa uongee mbele za watu ati mbaya zaidi boxer ina gia nne wakati toyo tano,

Kutoa hp nyingi ni nn?? Unahisi toyota wameshindwa ifanya itoe hvyo?

1gd unaijua?? Ina 2.8L now imefika 200hp ni sawa na engine ilioko kwa lx 4.2L nayo inatoa hp hizo..sasa wat is the problem man,, kwann lx engins kubwa inatoa hp sawa na 2.8L 1gd?? Hakuna tatizo hapa ni matakwa au maamuzi ya mtengenezaji...

Haya kuna engine ya suzuki K6A ina 658cc inatoa 64hp ..hio 999cc ya audi sijui inatoa 74hp utofauti wa cc ni 341cc sasa hapo unataka semaje bwana mdogo

Haya tukipiga mahesabu ya haraka kama hio 999cc inatoa 74hp ..hio ya suzuki yenye 658cc ni zaidi ya hio ya audi .maana tukiongeza cylinder moja ifikie 1L itatoa 97hp ..na hio K6A ni engine ya kawaida sana kwa wenye jimny wanajua au suzuki kei zile
 
Wingi wa gia umefanyaje sasa hadi unasema mbaya zaidi😁😁 ni sawa uongee mbele za watu ati mbaya zaidi boxer ina gia nne wakati toyo tano,
Yaani serious kabisa unauliza wingi wa gia umefanyaje?

Labda kwa kifupi tu mkitoka point A kwenda point B gari moja ina gear 4 na nyingine ina Gear 7... Gari yenye gear nyingi itawahi kufika point B... Inawahi kuchanganya..... Hili halina ubishi.
Kutoa hp nyingi ni nn?? Unahisi toyota wameshindwa ifanya itoe hvyo

🤣🤣🤣🤣 Eti kutoa HP nyingi ni nini? Hivi uko serious Mkuu? AMG A45s ina Cc2000 ila inacheua 420+ hp.... Unadhani V8 na Cc zake 5700 anaweza akafanya ligi na hiyo gari?
1gd unaijua?? Ina 2.8L now imefika 200hp ni sawa na engine ilioko kwa lx 4.2L nayo inatoa hp hizo..sasa wat is the problem man,, kwann lx engins kubwa inatoa hp sawa na 2.8L 1gd?? Hakuna tatizo hapa ni matakwa au maamuzi ya mtengenezaji...
Eti 1GD🤣🤣🤣🤣🤣

Kuna engine inaitwa CUAA imefungwa kwenye VW Passat. Ina Cc2000 tu TDI Inatoa 236HP

Hapo unasemaje?🤣🤣🤣
 
Aisee Torque ndio mchezo wote..
Kwenye Stop n Go.. Torque ndio muhimu.. Maana Stop n Go utaoperate kwenye lower rpms..
HP umuhimu kwenye higher speed.. Hapo ndio unaona advantage yake..!

Gari ya diesel.. Nyingi ukiweka 1st gear bila hata acceleration gari itamove..Torque kubwa kwenye low rpms..!
Kama unazungumzia stop and Go sawa.... Ila kwenye mwendo ni story nyingine....
 
Sasa unaanzaje kuua gearbox. unataja vitu ambavyo ni nadra kuharibika katika matumizi ya kawaida.labda ungesema bei ya shockups,bush,breakpads,bearings,plugs etc.yaani vile vitu vinavyobadilishwa mara kwa mara
Unaniuliza hnawezaje kuua gearbox?

Tena Gearbox ya CVT serious?

Hiyo Gearbox inakufa kufumba na kufumbua, siku wakikuwekea Oil ya gearbox ambayo siyo yake ndio utajua.
 
🤣🤣🤣🤣🤣

Me huwa nasema Gari M sport ni engine....

M5 ya Cc2500 hiyo ndio kwa mara ya kwanza naiona leo mkuu.

M5 ya miaka hiyo ina 5.0L

Hiyo ni 525i
Madalali wengi hawana uelewa na biashara yao.. kuna mmoja nilikuta kaweka A4 3.2.. nikaielewa sana ile gari.. kwenda kuchungulia engine ni 1.8T, namuuliza anasema nae hajui 😂😂
 
Madalali wengi hawana uelewa na biashara yao.. kuna mmoja nilikuta kaweka A4 3.2.. nikaielewa sana ile gari.. kwenda kuchungulia engine ni 1.8T, namuuliza anasema nae hajui 😂😂
3.2L kwa Audi ni V6... yaani hata kwa kuiona tu utajua kutofautisha 1.8T na hiyo 3.2....

Af audi nyingi zinaandikwa nyuma saizi ya engine....
 
3.2L kwa Audi ni V6... yaani hata kwa kuiona tu utajua kutofautisha 1.8T na hiyo 3.2....

Af audi nyingi zinaandikwa nyuma saizi ya engine....
wao walipachika ile size ya engine ya uongo, ni sawa na kuna Benz E 500 ambayo ni V8 na ina CC 5... jamaa wamendika ina 2000.. ukicheki pale ndio wanajidai typinge error wanaanza kukushawishi upyaa, madalali wengi janja sanaa
 
Yaani serious kabisa unauliza wingi wa gia umefanyaje?

Labda kwa kifupi tu mkitoka point A kwenda point B gari moja ina gear 4 na nyingine ina Gear 7... Gari yenye gear nyingi itawahi kufika point B... Inawahi kuchanganya..... Hili halina ubishi.


🤣🤣🤣🤣 Eti kutoa HP nyingi ni nini? Hivi uko serious Mkuu? AMG A45s ina Cc2000 ila inacheua 420+ hp.... Unadhani V8 na Cc zake 5700 anaweza akafanya ligi na hiyo gari?

Eti 1GD🤣🤣🤣🤣🤣

Kuna engine inaitwa CUAA imefungwa kwenye VW Passat. Ina Cc2000 tu TDI Inatoa 236HP

Hapo unasemaje?🤣🤣🤣
Nimejarbu kukuonesha utofauti tena kwenye kampuni moja nimekuonesha 1gd na 1hdt

Hizo gia ingekuwa ratio zake zinafanana basi ndo ungesema yenye nyingi ingekuwa nzuri zaidi...

Kuna vitu ni simple tu huitaji akili nyingi nakupa mifano midogo sana wote tuchukue baskeli moja mfano hizi sport bike me nanunua kisahani cha gia 5 kile na ww chukua kile chenye saba ....unaweza hata usinione nilipopita...kwann ? Unajua hizo 6,7,9,10 speed ratio ya mwsho huwaga ni sawa? Yani zote jino la mwsho huwaga ni 12teeth ama 14..means wewe gia yako ya 9 ni sawa na yangu ya 7..

..nilikwambia ni matakwa ya mtengenezaji tunarudi kule kule hio engine ya 2L kutoa hizo hp haiwezi dumu kama hio 5.7l

Swali simple tu hivi unahisi hio 5.7L ikifungwa turbo zaidi ya ilioko nayo itatoa hp ngap?😁😁

Haya unafahamu kuna nissan patrol nadhan ni old walichokonoa kidogo tu bila kubadili chchte output ikafika 2000hp...yes i mean two thousand hp😁😁 cc zake ni elf nne tu..maana yake hata wakiikata nusu hio engine kama ni 6cyl basi zibaki 3 still zitatoa 2000hp na ni stock ..je kwann nissan engine hio hio walioiweka sokoni wamelimit to 160hp😁😁 hivo ni vitu vidogo sana hata kuna engine jina limenitoka ni 7L v8 ila inatoa hp nyingi kuliko 8L W16 ya buggati 😁😁
 
wao walipachika ile size ya engine ya uongo, ni sawa na kuna Benz E 500 ambayo ni V8 na ina CC 5... jamaa wamendika ina 2000.. ukicheki pale ndio wanajidai typinge error wanaanza kukushawishi upyaa, madalali wengi janja sanaa
Madalali wengi ni wajinga, waongo na matapeli.

Hawayafahamu magari kabisa.

Na page zao wanaandika uongo mtupu. Basic info za gari haziwekwi.
 
Hizo gia ingekuwa ratio zake zinafanana basi ndo ungesema yenye nyingi ingekuwa nzuri zaidi...

Kuna vitu ni simple tu huitaji akili nyingi nakupa mifano midogo sana wote tuchukue baskeli moja mfano hizi sport bike me nanunua kisahani cha gia 5 kile na ww chukua kile chenye saba ....unaweza hata usinione nilipopita...kwann ? Unajua hizo 6,7,9,10 speed ratio ya mwsho huwaga ni sawa? Yani zote jino la mwsho huwaga ni 12teeth ama 14..means wewe gia yako ya 9 ni sawa na yangu ya 7..

Haya maneno umeandika mengi ni theoretical ila practical hayapo hivyo....

Kwenye gari wewe na gear zako chache unaspend muda mrefu kutoka gear moja mpaka nyingine... Kitu ambacho huo muda unapungua kwa mwenye gear nyingi....

Mercedes benz kuna gari kafunga 9G tronic... Hiyo ni 9 speed Gearbox unadhani hizi 4 speed hajaziona?

Ukiwa na more gear option unakuwa na improved acceleration.

Msome huyu jamaa ameeleza vizuri sana advantage ya kuwa na gear nyingi

IMG_20220108_185935.jpg



..nilikwambia ni matakwa ya mtengenezaji tunarudi kule kule hio engine ya 2L kutoa hizo hp haiwezi dumu kama hio 5.7l
Suala la kudumu naomba usiwe mjadala mkuu sababu nilishaleta engine za diesel tena zenye turbo below 2.0L ambazo zimefika 1milion Kilometres na wao wakashindwa kuleta hizo engine kubwa zenye hizo Km nyingi, huo mjadala nilishaufunga naona unataka tuurudie....


Swali simple tu hivi unahisi hio 5.7L ikifungwa turbo zaidi ya ilioko nayo itatoa hp ngap?😁😁
🤣🤣🤣

Hapa sasa unazungumzia Hisia mkuu... Mimi naongelea vitu viko mezani.

Hapo hata mimi nitakuambia nahisi hiyo 2.0L ikiongezwa turbo inafikia 600HP unabisha?🤣🤣🤣🤣

Haya unafahamu kuna nissan patrol nadhan ni old walichokonoa kidogo tu bila kubadili chchte output ikafika 2000hp...yes i mean two thousand hp😁😁 cc zake ni elf nne tu..maana yake hata wakiikata nusu hio engine kama ni 6cyl basi zibaki 3 still zitatoa 2000hp na ni stock ..je kwann nissan engine hio hio walioiweka sokoni wamelimit to 160hp😁😁 hivo ni vitu vidogo sana hata kuna engine jina limenitoka ni 7L v8 ila inatoa hp nyingi kuliko 8L W16 ya buggati 😁😁

Weeee Cc4000 stock itoe HP2000??

Hiyo engine wazungu wangeichangamkia kama njugu...

Weka taarifa za hiyo engine mezani tuoneee....
 
Back
Top Bottom