Acheni kumlaumu Rais Samia. Mafuta yamepanda bei katika soko la Dunia, ulizeni bei za mafuta Kenya, Uganda, Rwanda zipoje

Acheni kumlaumu Rais Samia. Mafuta yamepanda bei katika soko la Dunia, ulizeni bei za mafuta Kenya, Uganda, Rwanda zipoje

Tipstipstor

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2021
Posts
1,528
Reaction score
3,352
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.

 
Ni kweli bei imepanda duniani kote,,lakini serikali inafanya nini ili kudhibiti hiyo hali isiathiri sana maisha ya watu? kwa nini wasipunguze kodi na tozo kwenye mafuta ili kupunguza makali ya bei.? nini maana ya Rais kama hawezi kupambana na changamoto zinapojitokeza?
 
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha ,kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum,diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi,Mombasa,Kisumu,Kampala ,Lusaka,kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.

Usihangaike nao hao fala achana nao ,mbona wasilete mafuta yao wayauze bei ya Chini?

Eti wanataka Serikali ifute Kodi kwenye mafuta Ili ijiendeshaje? Ili isijenge barabara?

Hakuna pimbi atafanya hili.
 
Ni kweli bei imepanda duniani kote,,lakini serikali inafanya nini ili kudhibiti hiyo hali isiathiri sana maisha ya watu? kwa nini wasipunguze kodi na tozo kwenye mafuta ili kupunguza makali ya bei.? nini maana ya Rais kama hawezi kupambana na changamoto zinapojitokeza?
Nitajie nchi ambayo haitozi kodi katika bidhaa za mafuta.Nchi itajiendeshaje kama haikusanyi kodi? Mnataka kuja tena kumlaumu kuwa hospitalini hakuna madawa, wafanyakazi kutolipwa mishahara kwa wakati n.k
 
Ni kweli bei imepanda duniani kote,,lakini serikali inafanya nini ili kudhibiti hiyo hali isiathiri sana maisha ya watu? kwa nini wasipunguze kodi na tozo kwenye mafuta ili kupunguza makali ya bei.? nini maana ya Rais kama hawezi kupambana na changamoto zinapojitokeza?
Wewe ulitaka ifanye nini? Unachotaka wewe hakitafanyika
 
Ni kweli bei imepanda duniani kote,,lakini serikali inafanya nini ili kudhibiti hiyo hali isiathiri sana maisha ya watu? kwa nini wasipunguze kodi na tozo kwenye mafuta ili kupunguza makali ya bei.? nini maana ya Rais kama hawezi kupambana na changamoto zinapojitokeza?
Tatizo watu wa nchi hii sijui wakoje nani analaum?? Shida ya hawa watu wakipewa vyeo wanajisahau sana....hamna anaelaumu kiongozi ndio hutoa suluhu ya shida za watu wake....Watu wanachosema ni kodi kupunguzwa ili uchumi usianguke sasa anaefanya hayo maamuzi si Rais???
 
Zitto Kabwe ametowa ushauri mzuri na unatekelezeka kama kuna utashi.

Serikali ibebe huu msalaba kwa kuondowa sh 500 za tozo kwa kila litter ili wananchi wapumuwe.
Huu ni ujinga wa Hali ya Juu,unaposema wafute hizi Kodi manake unasema madawa yapungue hospital,wasijenge barabara nk Ili watu wapumue sio?
 
Zitto Kabwe ametowa ushauri mzuri na unatekelezeka kama kuna utashi.

Serikali ibebe huu msalaba kwa kuondowa sh 500 za tozo kwa kila litter ili wananchi wapumuwe.
ZZK ndie atakae kuwa mstari wa mbele kulaumu pindi serikali ikishindwa kulipa mishahara wafanyakazi kwa wakati, hospitali kukosa madawa, barabara kutokujengwa,kusimama kwa miradi ya maendeleo n.k nchi zote za afrika ya mashariki bei ya mafuta ya petroli na dizeli ni kuanzia sh 3000 kwa lita na kuendelea.
 
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha ,kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum,diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi,Mombasa,Kisumu,Kampala ,Lusaka,kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.

Je sisi ni land locked kama Rwanda na Congo DRC?

Je umeuliza huko Uganda,Kenya na Rwanda kama wanazo tozo za miamala ya Simu?

Wanazo tozo kwenye Mafuta?

Mnajisifu mama amefungua nchi na misaada inamiminika ok.

Sasa Tozo ni za nini?

Ndio maana mmeanza kutukejeli namna hii kwenye hii tweet ya Makamba
Screenshot_20220505-065439_Twitter.jpg
 
Je sisi ni land locked kama Rwanda na Congo DRC?

Je umeuliza huko Uganda,Kenya na Rwanda kama wanazo tozo za miamala ya Simu?

Wanazo tozo kwenye Mafuta?

Mnajisifu mama amefungua nchi na misaada inamiminika ok.

Sasa Tozo ni za nini?

Ndio maana mmeanza kutukejeli namna hii kwenye hii tweet ya Makamba View attachment 2212007
Hata mimi ningekuwa serikali siwezi toa Kodi Ili Nchi ikwame kwa kisingizio cha mafuta kupanda and such upuuzi..

Utoe 500 kwenye mafuta unajua utapoteza mapato kiasi gani?
 
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha ,kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum,diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi,Mombasa,Kisumu,Kampala ,Lusaka,kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.

Majizi tu DRC, BURUNDI, RWANDA NA KENYA, bei bado zipo chini kulinganisha na sisi. angalia data zako
 
Uki
Tatizo watu wa nchi hii sijui wakoje nani analaum?? Shida ya hawa watu wakipewa vyeo wanajisahau sana....hamna anaelaumu kiongozi ndio hutoa suluhu ya shida za watu wake....Watu wanachosema ni kodi kupunguzwa ili uchumi usianguke sasa anaefanya hayo maamuzi si Rais???
Serikali itajiendeshaje bila ya kukusanya kodi? Yaani unataka apunguze kodi kwenye mafuta halafu wakaongeze kodi kwenye madawa, mbolea,vifaa vya ujenzi,n.k
 
Back
Top Bottom