Acheni kumlaumu Rais Samia. Mafuta yamepanda bei katika soko la Dunia, ulizeni bei za mafuta Kenya, Uganda, Rwanda zipoje

Acheni kumlaumu Rais Samia. Mafuta yamepanda bei katika soko la Dunia, ulizeni bei za mafuta Kenya, Uganda, Rwanda zipoje

Wacha mafuta yapande bei yafikie sh 5000 kwa lita ili ukimuona mwenye gari uache kumkejeli.
 
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha ,kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum,diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi,Mombasa,Kisumu,Kampala ,Lusaka,kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.

Unalinganishaje hali ya hapa kwetu na nchi nyingine? Kwani uchumi wetu uko "at par" na hizo nchi? mafuta yamepanda bei sana wakati hali za watanzania wengi ni ndogo sana. Nimesikia eti mama analinganisha nchi yetu na marekani!!!! Kwani uchumi wa Tanzania ni sawa na wa Marekani? Kima cha chini cha mshahara marekani ni sawa na kwetu!!!! Si sawa hata kidogo. Mafuta yamepanda sana sana. Itabidi wengi wetu tununue IST. I am seriously thinking of buying one!!!
 
Usihangaike nao hao fala achana nao ,mbona wasilete mafuta yao wayauze bei ya Chini?

Eti wanataka Serikali ifute Kodi kwenye mafuta Ili ijiendeshaje? Ili isijenge barabara?

Hakuna pimbi atafanya hili.
Usitetee sana,hilo linaweza kufanyika ila kwa tahadhari ya kutokuathiri shughuli nyingine za uchumi.Haya ni maoni,nadhani hata wao hawafurahishwi kuona wananchi wao wakiteseka...
 
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha ,kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum,diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi,Mombasa,Kisumu,Kampala ,Lusaka,kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.

Zanzubar wao hawako soko la dunia?
Acheni kutufanya wajinga. Watoe tozo kwenye mafuta, period!!!
 
Kigali mafuta yalianza kuuzwa sh 3100 kwa lita toka mwezi April mwaka huu
 
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha ,kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum,diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi,Mombasa,Kisumu,Kampala ,Lusaka,kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.

Asa ndo unatuandikia kwa herufi kubwa ili tukuogope au?
 
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.


Imepanda bei sawa vipi kuhusu reseve wanayoisema wanayo ya miezi 7 nayo imepanda bei...
Nchi za landlocked why mafuta rahisi kidogo kuliko sisi?!
 
Huu ni ujinga wa Hali ya Juu,unaposema wafute hizi Kodi manake unasema madawa yapungue hospital,wasijenge barabara nk Ili watu wapumue sio?

Lini madawa yalikuwepo?! Pamoja na hizo kodi? Kuna anaetibiwa bure na kupewa hizo dawa za hewa bure?!....
Sasa hivi si kuna matozo kibao mapya huko nyuma hayakuwepo?! Na bd kila siku wanakopa huko bs waondoe hizo tozo mpya maana hazikuwepo na hapakua na tatizo lolote..
 
Ni kweli mafuta yamepanda duniani ila tukisitisha kodi zilizopo kwenye mafuta, bei itakuwa stable, hivi wapinzani kwa nn wasichukue hii kama agenda? Bahati mbaya watanzania pia hatuna logic
 
Ni kweli bei imepanda duniani kote,,lakini serikali inafanya nini ili kudhibiti hiyo hali isiathiri sana maisha ya watu? kwa nini wasipunguze kodi na tozo kwenye mafuta ili kupunguza makali ya bei.? nini maana ya Rais kama hawezi kupambana na changamoto zinapojitokeza?
mlituibia sana kupitia TANROADS nendeni mkazikwe CHATO
 
KSh
UGSh
TzSh
RwFr
Kitaeleweka tu. Ndiyo yale yale 'hata marekani.....wakati wao wanauza lita tatu tatu.

Tutamlaumu tuu, shamba lake kwanini asilaumiwe? The $Buck stops with her
 
Uki

Serikali itajiendeshaje bila ya kukusanya kodi? Yaani unataka apunguze kodi kwenye mafuta halafu wakaongeze kodi kwenye madawa, mbolea,vifaa vya ujenzi,n.k
Wacha kutulisha ujinga wewe na walamba asali wote.
Hakuna mtu humu anayesema kodi ifutwe bali tunauliza kwan nini nchi zingine tena ambazo hazina bandari hazina mambo ya Tozo?

Tozo za kwenye miamala ya simu ni tofauti na kodi inayolipwa na wafanyabiashara.
Halafu wananchi tunailipa kupitia mishahara yetu au kwenye ununuzi wa bidhaa madukani au viwandani.

Kuanzia pembejeo za kilimo hadi madawa hospitalini na bidhaa za mahitaji muhimu za kuendeshea maisha kila siku majumbani.

Bado mama anazunguka ughaibuni kila uchao kukusanya mikopo.

Halafu mnajinganisha na Uganda au Rwanda tena bila aibu.

Hao wanatumia bandari yetu ili kupitisha mafuta yao kufikisha nchini mwao.

Halafu makamba anatukejeli huko tweeter
 
ZZK ndie atakae kuwa mstari wa mbele kulaumu pindi serikali ikishindwa kulipa mishahara wafanyakazi kwa wakati, hospitali kukosa madawa, barabara kutokujengwa,kusimama kwa miradi ya maendeleo n.k nchi zote za afrika ya mashariki bei ya mafuta ya petroli na dizeli ni kuanzia sh 3000 kwa lita na kuendelea.
Kenya wametoa ruzuku ya KSH. 1.2 billion kudhibiti mfumuko wa bei
 
Lini madawa yalikuwepo?! Pamoja na hizo kodi? Kuna anaetibiwa bure na kupewa hizo dawa za hewa bure?!....
Sasa hivi si kuna matozo kibao mapya huko nyuma hayakuwepo?! Na bd kila siku wanakopa huko bs waondoe hizo tozo mpya maana hazikuwepo na hapakua na tatizo lolote..
Waondoe kwa sababu tayari kila kata Kuna Kituo cha Afya, hospital au? Akili za kisoda..

Madawa yatakuwepo ya kutosha Pesa ipo ya kutosha? Kuzaa hovyo mumeacha?
 
Usitetee sana,hilo linaweza kufanyika ila kwa tahadhari ya kutokuathiri shughuli nyingine za uchumi.Haya ni maoni,nadhani hata wao hawafurahishwi kuona wananchi wao wakiteseka...
Tahadhari ya kutoathiri shughuli nyingine ndio ipi hiyo? Iweke hapa hiyo tahadhari ambayo Serikali haifanyi.
 
Back
Top Bottom