TANMO JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 11,763 Reaction score 11,873 Jun 20, 2022 #21 Honestly, hata hawa CHADEMA wenyewe sina imani kama wana nia ya dhati kulikomboa Taifa. Wanasiasa ni Wanafiki sana. Wanavhojali ni maslahi yao tu..
Honestly, hata hawa CHADEMA wenyewe sina imani kama wana nia ya dhati kulikomboa Taifa. Wanasiasa ni Wanafiki sana. Wanavhojali ni maslahi yao tu..
Robert S Gulenga JF-Expert Member Joined Jan 3, 2013 Posts 2,255 Reaction score 1,565 Jun 20, 2022 #22 Mkoa Selous, ni mkoa wa wapi?
kitonsa JF-Expert Member Joined Aug 15, 2011 Posts 1,211 Reaction score 2,649 Jun 20, 2022 #23 Mwijaku ,baba levo, zitto Hawa Ni machawa wakuu wa taifa kutoka kigoma