johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mchana saa ngapi?Habari hii ni kwa mujibu wa tweet ya ACT-Wazalendo ambapo wamearifu uchambuzi huo utaanza saa sita kamili mchana wa leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchana saa ngapi?Habari hii ni kwa mujibu wa tweet ya ACT-Wazalendo ambapo wamearifu uchambuzi huo utaanza saa sita kamili mchana wa leo.
Mh,ngoja niitoe tv yangu store na hili dishi sijui Kama Lina signal[emoji848][emoji848]ngoja nikomae nalo mpaka saa sita Mambo yatakuwa poa!
Huoni au umechanganyikiwa?Mchana saa ngapi?
Maana Mbowe naye anaongea saa 6 lakini hatakuwa mubashara!Huoni au umechanganyikiwa?
Mbowe sio saa tisa?Maana Mbowe naye anaongea saa 6 lakini hatakuwa mubashara!
Mungu anaipenda sana TanzaniaDuh naona media zumeanza kualika wapinzani live [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kuku elewa utofauti Kati ya kutoa ripoti na kuchambua ripotiCAG alikwisha toa ripoti huyu chizi ataongea nini?
Zitto Kabwe yuko serikalini manka!Mungu anaipenda sana Tanzania
Ingekuwa enzi za magufuli na ukatili wake, izo station ITV na Azam wasingempa airtime Zitto,,,,,,,kwakweli magufuli aliturudisha enzi za ukoloni,,,ashukuriwe MUNGU kwa kutugomboa jamanHabari hii ni kwa mujibu wa tweet ya ACT-Wazalendo UDSM ambapo wamearifu uchambuzi huo utaanza saa sita kamili mchana wa leo.
CAG alikwisha toa ripoti huyu chizi ataongea nini?
atakuwa hewani saa ngapi zitto,Moja ya zawadi kubwa na ya pekee aliyonijalia Mwenyezi Mungu mpaka leo hii ni kunijalia uhai kuishi kushuhudia utawala wa Magufuli ukifika mwisho, na kushuhudia Tanzania mpya bila ya Magufuli .
Asante Mungu kwa Zawadi hii.
ITV marehemu angekuwa hai wangefungiwa haraka snHabari hii ni kwa mujibu wa tweet ya ACT-Wazalendo UDSM ambapo wamearifu uchambuzi huo utaanza saa sita kamili mchana wa leo.
Kweli kabisaUzi wa report ya CAG tayari upo, huku umefuata nini?
Baadhi bado hamuamini kama 'Ukuta wa Berlin' uliowagawa Wajerumani tayari umeanguka…
Mbowe saa ngapHabari hii ni kwa mujibu wa tweet ya ACT-Wazalendo UDSM ambapo wamearifu uchambuzi huo utaanza saa sita kamili mchana wa leo.