imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Nasikia wamekataAisee ungesubiri kwanza kipindi kiishe ndio uandike hii comment yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia wamekataAisee ungesubiri kwanza kipindi kiishe ndio uandike hii comment yako.
Lakini wamethubutu sana.. mwanzo mzuriITV wamekimbia[emoji38][emoji38]
Mnamlaumu sana magu Lakini mnamsahau mwalimu wake Paul kagameMoja ya zawadi kubwa na ya pekee aliyonijalia Mwenyezi Mungu mpaka leo hii ni kunijalia uhai kuishi kushuhudia utawala wa Magufuli ukifika mwisho, na kushuhudia Tanzania mpya bila ya Magufuli .
Asante Mungu kwa Zawadi hii.
Wamerudi hewani tenaNasikia wamekata
Wamerudi baada ya kutimiza walichotaka.Nasikia wamekata
Mungu huyu huyu aliyekuwa anaombwa kwenye corona au huyo Mungu mwengine?Mungu anaipenda sana Tanzania
Na ni Mungu huyu huyu tulimuomba Tundu Lissu alipopigwa risasi na Ben Saanane kupoteaMungu huyu huyu aliyekuwa anaombwa kwenye corona au huyo Mungu mwengine?
Ni kweli kabisa,wengine tulianza maombi kwa Mungu huyu toka kwa Dr Ulimboka.Na ni Mungu huyu huyu tulimuomba Tundu Lissu alipopigwa risasi na Ben Saanane kupotea
Rudi Kijijini ndugu rudi Kijijini.Mungu huyu huyu aliyekuwa anaombwa kwenye corona au huyo Mungu mwengine?
Mh, ngoja niitoe tv yangu store na hili dishi sijui Kama Lina signal[emoji848][emoji848]ngoja nikomae nalo mpaka saa sita Mambo yatakuwa poa!
Nimazaliwa Dar na kukulia Dar huko kwengine nimeenda tu na kurudi sasa kijiji gani hicho unachokizungumzia?Rudi Kijijini ndugu rudi Kijijini.
Daa maisha yanaenda kasi sana kwel jiwe tumeumia mnoo!!!! Sasa ni wakat wa pumziko!!!Angekuwepo yule mzee wa visasi, hao ITV wangekifunga hicho kituo chao mara tu baada ya hilo tukio! Wanapata wapi nguvu za kurusha au kutangaza taatifa za wapinzani?
Enzi hizo vituo vyote vilitakiwa kusifia, kupongeza, kutukuza na kurusha taarifa nzuri tu za kumhusu mzee na sirikali yake tu.
Si kuzalisha tu ila unazalisha kwa gharama kiasi gani? Mbona anakwepa kuzungumzia gharama za kualisha huo umeme wanaoupigia debe.Kumbe miradi ya umeme wa gesi waliyoipotezea ina uwezo wa kuzalisha umeme mwingi kuliko ule wa Nyerere Dam!! Kama ni kweli basi maajabu haya
Ni kweli baada ya Zitto kuwa nje ya Bunge nilijiuliza Nani wa kutuchambulia ripoti ya CAG kwa kina... Nafurahi amefanya hivyo hata akiwa nje ya Bunge japo angekuwa bungeni wabunge wengi wa ccm wangefunguka ubongo.Miaka yote Zitto huwa anachambua Report ya CAG na anabamiza kweli kweli, sehemu kubwa ya umaarufu wa Zitto imetokana na uchambuzi wake wa report hii na kama Serikal ya Jk ilichafuka basi ilitokana na uchambuzi wa Zitto kwny reports hizi wakati wa Ludovick Uttoh kama CAG na Zitto kama Mwenyekiti wa PAC
Reports za CAG wakati wa Jk zilikuwa zinapelekea Mawaziri kutemwa
Hata Mwakani tutaoneshwa madudu mengi ya Utawala wa Samia,
Tatizo sio reports za CAG, tatizo ni mstuko unaotokana na Imani tuliyokuwa tumejenga kwa Hayati kuwa katokomeza Ufisadi ndio maana kila taarifa ya Ufisadi tunaona kama imelenga kumchafua