Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Anaichambua,maana iko general ataivunjavunja na kuchambua kila kipengele chenye walakini.CAG alikwisha toa ripoti huyu chizi ataongea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaichambua,maana iko general ataivunjavunja na kuchambua kila kipengele chenye walakini.CAG alikwisha toa ripoti huyu chizi ataongea nini?
Sasa Mambo yamebadirika.Muda huu TCRA, TRA, PCCB, Uhamiaji, FCC, wasiojulikana, BASATA, "Polisi" wote hao wangekuwa wamemwagika ITV kuwatafutia sababu wafungiwe
Lile Wingu jeusi limeshapita.Duh naona media zumeanza kualika wapinzani live [emoji23][emoji23][emoji23]
... kwa Katiba iliyopo, utashi wa kiongozi mkuu ni muhimu sana katika kuamua hatma ya taifa. Rais Samia alielekeza "hakuna kuficha kitu" na pia akaagiza "media zilizofungiwa zifunguliwe" ni maneno machache sana ya Kongozi Mkuu unaona watu wanapumua na kufunguka sasa. Japo wazito kuelewa kwa haraka akina Abbas hawakosekani ila ni suala la muda tu wataelewa!Media zinaanza kufunguka zama za uoga uoga zimekwisha hivi Azam wangeweza kuchambua Ripoti hii waziwazi wakati wa Mwenda
Mkuu geuza huu uzi wako kuwa Live maana uchambuzi sasa unaendelea.Habari hii ni kwa mujibu wa tweet ya ACT-Wazalendo UDSM ambapo wamearifu uchambuzi huo utaanza saa sita kamili mchana wa leo.
Haya mambo enzi za mwendazake hayakuwezekana kabisa!
Sasa hata hamu ya kutazama local stations inaanza kurudi.
Nchi iliwekwa kifungo cha kifikraSafi tumetoka Zama za ujinga ushamba na Giza..tunarudi Zama za Uhuru..haki..
Ila naomba msinielewe vibaya.
Jana Asad aliongea na leo Zitto anaongea, mbona kama hapa kuna kaharufu flani ka Ijumaa?
Sikushangaa Maalim kujiunga na ACT pia sio jambo la ajabu Asadi nae punde au next election akawa mgombea wa ACT nafasi ya Urahis.
Naomba mnisamehe kwa mawazo yangu kwani msiba umenichanganya