ACT–Wazalendo waichambua Ripoti ya CAG - Aprili 11, 2021

Dah, you are tryng to connect some events,anyway Inshaaalah
 
Nipo live ITV..
Japo nimechelewa kujoin
 
hii sasa ni wakati wa polepole kuonyesha makali yake.

kama aliweza kwa magazijuto kuidadavua ile 1.5t ilivyotumika,basi hata hii ripoti haitamshinda!

nimeamini nguvu ya mamba ni maji mengh,kweli nguvu ya jpm ilikuwa ni hili giza la kutokushana habari,tena siyo tu habari,bali habari sahihi kwa wakath sahihi.

uhuru wa habari unauzika utawala wa kisiri wa jpm!
 
Naona ITV wapigiwa simu kutoka juu, wamemtoa Zitto [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Acha udini mkuu
 
Haya yamenigusa sana:
MSD walihitaji Bilioni 500 tu ili waweze kujitegemea kibiashara bila kupokea fedha kutoka serikalini, lakini serikali ikakataa na kuamua kwenda kununua ndege ya Boeing Dream-liner. Walifanya hivi hata baada ya kushauriwa na bunge, lakini waligoma..........

Nampa hongera nyingi sana kaka Zitto Kabwe kwa kuishauri vizuri serikali, kwamba tusiachane na miradi yote ya kimkakati aliyoanzisha Mzee Magufuli. Bali tunatakiwa tufanyie tathmini ya jinsi ya kuboresha hii miradi (Ubarikiwe sana ndugu Zitto )
 
Kumbe miradi ya umeme wa gesi waliyoipotezea ina uwezo wa kuzalisha umeme mwingi kuliko ule wa Nyerere Dam!! Kama ni kweli basi maajabu haya
 
Media zinaanza kufunguka zama za uoga uoga zimekwisha hivi Azam wangeweza kuchambua Ripoti hii waziwazi wakati wa Mwenda
Aisee ungesubiri kwanza kipindi kiishe ndio uandike hii comment yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…