ACT Wazalendo wakamata Kura Feki uchaguzi Mdogo Kata ya Kasingirima Kigoma zikiwa zimepigwa kwa Mgombea wa CCM

Sasa mzee unashauri wapiga kura wafanye nini kuondoa hiki chama kinacho tawala kwa wizi na shuruti kinyume na matakwa yao?

Halafu kuna timu chawa akina Lucas mwashambwa watakwambia chama chao kinakubalika na kupendwa sana na kila mwananchi!!!
 
Dah..
Umewaza vizuri broo.
Angeacha waboronge kwa kuvunja Katiba halafu awapige pini kibabe, na angeungwa mkono sana tu
 
Ona aibu kama hii! Hadi kina mama wanawashangaa kwa wizi!
Kwani lazima nyie mshinde hata kama hamtakiwi?

Hii ni huko Ujiji kigoma uchaguzi mdogo wa diwani, kumbe ndio maana hamtaki Katiba mpya wala Tume huru ya uchaguzi.

Kibinadamu mtu kuitwa mwizi ni aibu, basi nanyi oneni aibu kuitwa wezi tena ndani ya mwezi huu ambao waumini wa dini zote wako mko kwenye mfungo.

Your browser is not able to display this video.
 
Wananchi wanajaa hisia potofu tu, wanapayuka tu, ovyo ovyo!
 
Imenikumbusha mbaali Sana.
ACT Wazalendo wana Siasa za Shule sana. Yaani kuna avitabu vinagawiwa kwa ajili ya Kutoa elimu kwa Wapiga kura. Wao wamekuwa Wakiviandaa Vitabu hivyo kama
Kura Feki ili tu kuendelea kutengeneza Imani kwa Wananchi kuwa hawakushindwa kihalali. Hii Siasa za Mchongo Abdul Nondo amefundishwa na Zitto Kabwe. Hii ni Mbadala wa Siasa zao za kutetea udhaifu wao. Ila Hongera zao kuliko hao Wanaojificha chini ya kivuli chao.
 
Duh πŸ™„ !
Hatoki mtu hapa leo πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™
Huo ni uchaguzi mdogo tu !
Je ule mkubwa ??!😱
 
Eti mitambo inatestiwa πŸ˜…πŸ˜… duh πŸ™„ !
 
Kwani kuna Ulazima gani vitabu hivyo vifanane na Kura halisi..

Kwanini Wasiweke katuni au vitu visivyo sahihi au hata Uhalisia wa wapiga kura usionekane kwenye Picha hizo?
 
Walijua bado jiwe yupo? Wazee wakuiba kura wajipange
 
CHADEMA wametolea macho ruzuku huoni za cov 19 wanakomba hawawezi susa!
Tulishakufafanulia kwamba Viti maalum havileti ruzuku Kwa Chama chochote. Unatumia kanuni gani kulazimisha ujinga huu wewe Mbumbumbu?
 
CHADEMA wametolea macho ruzuku huoni za cov 19 wanakomba hawawezi susa!
Tulishakufafanulia kwamba Viti maalum havileti ruzuku Kwa Chama chochote. Unatumia kanuni gani kulazimisha ujinga huu wewe Mbumbumbu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…