ACT Wazalendo wakamata Kura Feki uchaguzi Mdogo Kata ya Kasingirima Kigoma zikiwa zimepigwa kwa Mgombea wa CCM

Acha wakomeshwe hawa chawa wa CCM
 
USHAURI KWA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, UPIGAJI WA KURA WA AINA HII UMEKWISHA PITWA NA WAKATI, TWENDE KWENYE DIGATAL, WATU TIPIGE KURA KWA SMARTFONE, LAPTOP HATA KWA SIMU NDOGO ZA KITOCHI, UTENGENEZWE MFUMO, FULANI UUNGANISHWE NA TUME, TIPIGE KURA, MATOKEO YAWE YANASOMA KWENYE MEGA SCREEN BOARD KUBWA, SIMPLE LIKE THAT, ITAONDOSHA KELELE,NA MALALAMIKO LUKUKI.
 

Upo sahihi, Tatizo namba moja la CCM ni kuwa hawafati sheria, hata ikija hiyo katiba mpya wataendelea kuikanyaga kama wanavyoikanyaga hii. Hawa majamaa ni madikteta, na dikteta hatoki kwa kura.
Hawa jamaa ni kuingia mwituni tu hakuna namna nyengine
 
Thubutu Yao CCM, hawawezi fanya hicho kitu kamwe
 
Kazi iendelee, Nani alisema wanasiasa wa Africa huachia madaraka kwa hiali? Ni mpaka lipigwe jitu au lione dalili ya kupigika. Hata Mwalimu wenu aliona mwisho wake utakua mbaya Akang'atuka (Akakwepa kipondo)
 
Mkuu DR Mambo Jambo 2025 ,si unataka kugombea ubunge kama hauko CCM, Basi inabidi utumie plan B
Niko CCM mkuu ila kwa hali hii inatia furaha na Hamasa sana maana nahisi kama nitafanikiwa kupita kwa Wajumbe basi naamini Tayari ubunge nishaupata...

Ukiwa Huku sehemu Ngumu ni kwa wajumbe tu
 
Mambo ya aibu sana haya. Na utakuta wanajipongeza na kwenda misikitini na makanisani. Bure kabi
 
Unajua haya mambo ni kwa vile unyonge umewatawala wapinzani na ndani yao wapo mamluki kama kina Zitto na wanaaminika.
Lakini mfano kungetokea vurugu na waiba kura kadhaa wakapata kipigo cha mbwa mwizi kisha ikasikika wezi 4 wa kura wapoteza maisha kwa kipigo na polisi kadhaa wavunjwa miguu na nyonga wakitetea wezi hao.
Nadhani hali hiyo ikitokea sehemu kadhaa wataacha wajinga hawa wasio heshimu maamuzi ya wananchi


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ndani ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani na Kwaresma??

Mwenyezi Mungu hatawaacha salama, vinginevyo hizi dini zitakuwa ni bosheni tu

Cc Kiranga
 
CCM bila kuiba kura, kutumia vyombo vya dola na tume feki ya uchaguzi hawawezi kupata ushindi hata kwa 25%. Watu wanaojitambuwa ni wengi ukiondoa wachache aina ya Lucas Mwashambwa pamoja na wanufaika wa ufujaji wa rasilimali za nchi
 
uizi mbaya sana kwa maendeleo na ustawi wa nchi. Mimi ningeshauri mkikamata mwizi wa kura pigeni hadi afe, na chomeni chombo chake cha moto iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.. πŸ™ πŸ˜•
 
Hawezi kuacha mbinu hizo maana amesha zeeka sana kiasi kwamba hana uwezo wala wazo la kubuni mbinu mpya. Kwisha habari yake
 
Waweke picha ya wagombea kila mtu na mpiga kura wake, kila mtu ataona nani anamstari mrefu wa wapiga kura. Mwenye mstari mrefu zaidi ndiyo mshindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…