ACT Wazalendo wakamata Kura Feki uchaguzi Mdogo Kata ya Kasingirima Kigoma zikiwa zimepigwa kwa Mgombea wa CCM

ACT Wazalendo wakamata Kura Feki uchaguzi Mdogo Kata ya Kasingirima Kigoma zikiwa zimepigwa kwa Mgombea wa CCM

Kwenye Official Account yao ya X (Zamani twitter) ACT Wazalendo wamethibitisha kukamata kura hizo, na Kusema bado wanaendelea kuchukua Hatua stahiki ikiwa wao ni Moja ya vyama Shiriki kwenye Uchaguzi huo..

"Kura fake zimekamatwa zikiwa zinaingizwa kwenye vituo vya kupigia kura Katika Kata ya Kasingirima Kigoma. Kura hizo zimetiwa alama ya vema kwenye kiboksi cha mgombea wa CCM. ACT Wazalendo tumeshiriki uchaguzi huo".

View attachment 2940178

View attachment 2940179View attachment 2940180View attachment 2940181View attachment 2940182

View attachment 2940187
Acha wakomeshwe hawa chawa wa CCM
 
USHAURI KWA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, UPIGAJI WA KURA WA AINA HII UMEKWISHA PITWA NA WAKATI, TWENDE KWENYE DIGATAL, WATU TIPIGE KURA KWA SMARTFONE, LAPTOP HATA KWA SIMU NDOGO ZA KITOCHI, UTENGENEZWE MFUMO, FULANI UUNGANISHWE NA TUME, TIPIGE KURA, MATOKEO YAWE YANASOMA KWENYE MEGA SCREEN BOARD KUBWA, SIMPLE LIKE THAT, ITAONDOSHA KELELE,NA MALALAMIKO LUKUKI.
 
Hapo ndio watachakachua vizuri mno. Sisi wengine tunaposema njia ya uhakika ni kupindua nchi mnadhani hizo njia nyingine hatuzioni? Nimeshapigwa mabomu na polisi kwenye uchaguzi, nimekoswakoswa na risasi za polisi kwenye uchaguzi. Tena polisi walikuwa wanawalinda wachakachua kura 🤣🤣🤣.



Yaani njia ya uhakika ni kupindua tu. Hata ikija hiyo katiba mpya na tume huru bado madudu yanaendelea 🤣

Upo sahihi, Tatizo namba moja la CCM ni kuwa hawafati sheria, hata ikija hiyo katiba mpya wataendelea kuikanyaga kama wanavyoikanyaga hii. Hawa majamaa ni madikteta, na dikteta hatoki kwa kura.
Hawa jamaa ni kuingia mwituni tu hakuna namna nyengine
 
USHAURI KWA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, UPIGAJI WA KURA WA AINA HII UMEKWISHA PITWA NA WAKATI, TWENDE KWENYE DIGATAL, WATU TIPIGE KURA KWA SMARTFONE, LAPTOP HATA KWA SIMU NDOGO ZA KITOCHI, UTENGENEZWE MFUMO, FULANI UUNGANISHWE NA TUME, TIPIGE KURA, MATOKEO YAWE YANASOMA KWENYE MEGA SCREEN BOARD KUBWA, SIMPLE LIKE THAT, ITAONDOSHA KELELE,NA MALALAMIKO LUKUKI.
Thubutu Yao CCM, hawawezi fanya hicho kitu kamwe
 
Kazi iendelee, Nani alisema wanasiasa wa Africa huachia madaraka kwa hiali? Ni mpaka lipigwe jitu au lione dalili ya kupigika. Hata Mwalimu wenu aliona mwisho wake utakua mbaya Akang'atuka (Akakwepa kipondo)
 
Mkuu DR Mambo Jambo 2025 ,si unataka kugombea ubunge kama hauko CCM, Basi inabidi utumie plan B
Niko CCM mkuu ila kwa hali hii inatia furaha na Hamasa sana maana nahisi kama nitafanikiwa kupita kwa Wajumbe basi naamini Tayari ubunge nishaupata...

Ukiwa Huku sehemu Ngumu ni kwa wajumbe tu
 
Mambo ya aibu sana haya. Na utakuta wanajipongeza na kwenda misikitini na makanisani. Bure kabi
 
Hakika ni AIBU KUBWA kwa Chama kikubwa na kikongwe Afrika CCM kukamatwa na KURA FAKE zikiwa zimewekwa Alama ya TICK kwa MGOMBEA wake.

Kama Mtakumbuka MAKAMU MWENYEKITI wa CCM mh.KINANA alijinasibu kuwa Mh.RAIS SAMIA Ameahidi UCHAGUZI wa Serikali za Mitaa wa 2024 na UCHAGUZI MKUU wa 2025 utakuwa HURU na HAKI hivyo WADAU wa UCHAGUZI waondoe HOFU waliyokuwa nayo ktk UCHAGUZI wa 2019 na UCHAGUZI MKUU wa 2020.

Binafsi naamini CCM inatest MITAMBO yake ya WIZI wa KURA utakavyokuwa 2024 na 2025 hivyo WATANZANIA Tutarajie yale yale Yaliyotokea Wakati wa UCHAGUZI wa SERIKALI za Mitaa 2019 na UCHAGUZI MKUU wa 2020 uliosababisha HOFU KUBWA WAPINZANI Kukamatwa na Kufunguliwa KESI za MAUAJI UTAKATISHAJI PESA UGAIDI na UHUJUMU UCHUMI na SERIKALI ya Rais MAGUFULI.
Unajua haya mambo ni kwa vile unyonge umewatawala wapinzani na ndani yao wapo mamluki kama kina Zitto na wanaaminika.
Lakini mfano kungetokea vurugu na waiba kura kadhaa wakapata kipigo cha mbwa mwizi kisha ikasikika wezi 4 wa kura wapoteza maisha kwa kipigo na polisi kadhaa wavunjwa miguu na nyonga wakitetea wezi hao.
Nadhani hali hiyo ikitokea sehemu kadhaa wataacha wajinga hawa wasio heshimu maamuzi ya wananchi


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye Official Account yao ya X (Zamani twitter) ACT Wazalendo wamethibitisha kukamata kura hizo, na Kusema bado wanaendelea kuchukua Hatua stahiki ikiwa wao ni Moja ya vyama Shiriki kwenye Uchaguzi huo..

"Kura fake zimekamatwa zikiwa zinaingizwa kwenye vituo vya kupigia kura Katika Kata ya Kasingirima Kigoma. Kura hizo zimetiwa alama ya vema kwenye kiboksi cha mgombea wa CCM. ACT Wazalendo tumeshiriki uchaguzi huo".

View attachment 2940178

View attachment 2940179View attachment 2940180View attachment 2940181View attachment 2940182

View attachment 2940187
Ndani ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani na Kwaresma??

Mwenyezi Mungu hatawaacha salama, vinginevyo hizi dini zitakuwa ni bosheni tu

Cc Kiranga
 
Kwenye Official Account yao ya X (Zamani twitter) ACT Wazalendo wamethibitisha kukamata kura hizo, na Kusema bado wanaendelea kuchukua Hatua stahiki ikiwa wao ni Moja ya vyama Shiriki kwenye Uchaguzi huo..

"Kura fake zimekamatwa zikiwa zinaingizwa kwenye vituo vya kupigia kura Katika Kata ya Kasingirima Kigoma. Kura hizo zimetiwa alama ya vema kwenye kiboksi cha mgombea wa CCM. ACT Wazalendo tumeshiriki uchaguzi huo".

View attachment 2940178

View attachment 2940179View attachment 2940180View attachment 2940181View attachment 2940182

View attachment 2940187
CCM bila kuiba kura, kutumia vyombo vya dola na tume feki ya uchaguzi hawawezi kupata ushindi hata kwa 25%. Watu wanaojitambuwa ni wengi ukiondoa wachache aina ya Lucas Mwashambwa pamoja na wanufaika wa ufujaji wa rasilimali za nchi
 
uizi mbaya sana kwa maendeleo na ustawi wa nchi. Mimi ningeshauri mkikamata mwizi wa kura pigeni hadi afe, na chomeni chombo chake cha moto iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.. 🙁 😕
 
Hawezi kuacha mbinu hizo maana amesha zeeka sana kiasi kwamba hana uwezo wala wazo la kubuni mbinu mpya. Kwisha habari yake
 
Waweke picha ya wagombea kila mtu na mpiga kura wake, kila mtu ataona nani anamstari mrefu wa wapiga kura. Mwenye mstari mrefu zaidi ndiyo mshindi.
 
Back
Top Bottom