Kama ni kweli ccm tunajitia aibu! kwani kuna shida gani chama kujipima kwa wanachi bila wizi? kwani tukipateza hata kata kumi shida ipo wapi? kama chama kinafanya haya je wasimamizi wa mitihani nao wakiiba mtawalaumu hiyo ni kashfa ilipaswa katibu mkuu awajibike kwa kukitia chama aibu.