ACT Wazalendo wakamata Kura Feki uchaguzi Mdogo Kata ya Kasingirima Kigoma zikiwa zimepigwa kwa Mgombea wa CCM

ACT Wazalendo wakamata Kura Feki uchaguzi Mdogo Kata ya Kasingirima Kigoma zikiwa zimepigwa kwa Mgombea wa CCM

Kwenye Official Account yao ya X (Zamani twitter) ACT Wazalendo wamethibitisha kukamata kura hizo, na Kusema bado wanaendelea kuchukua Hatua stahiki ikiwa wao ni Moja ya vyama Shiriki kwenye Uchaguzi huo..

"Kura fake zimekamatwa zikiwa zinaingizwa kwenye vituo vya kupigia kura Katika Kata ya Kasingirima Kigoma. Kura hizo zimetiwa alama ya vema kwenye kiboksi cha mgombea wa CCM. ACT Wazalendo tumeshiriki uchaguzi huo".

View attachment 2940178

View attachment 2940179View attachment 2940180View attachment 2940181View attachment 2940182

View attachment 2940187
Kwamba yale aliyowaambia Kinana ilikuwa fix kumbe ?
 
Safi Sana... Shetani hajawi kuwa na urafiki...hawo ndio malipo ya umamluki wa ACT Wasaliti
 
Kama ni kweli ccm tunajitia aibu! kwani kuna shida gani chama kujipima kwa wanachi bila wizi? kwani tukipateza hata kata kumi shida ipo wapi? kama chama kinafanya haya je wasimamizi wa mitihani nao wakiiba mtawalaumu hiyo ni kashfa ilipaswa katibu mkuu awajibike kwa kukitia chama aibu.
 
Yaani Samia anakibali serikali yake inafanya maovy haya ha hayakemei.Kweli ni hatali
 
Back
Top Bottom