Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana uko sahihi 99%. Je wananchi wa sasa ni wale wa bora amani ya uwoga huku watu wakinyimwa haki zao na wengine wakipotezwa kwa kuonesha misimamo ya wazi dhidi ya mtawala?JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalum Seif hatopewa urais.
Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!
Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
InogileNgoma inogile!
Vikosi viko stand-by pale us military base Djibouti. Ajaribu aoneJP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais..
Huko ndani wanashikana uchawi bila kurogwaView attachment 1576467
Wee ni mjukuu wa yule mzee Wasira? Una hamu ya kurithi laana alojitafutia?Upinzani ulishakufa tangu 2015 kililichobaki ni futuhi.
It is too obvious. Ajiunge na Lissu kuongeza nguvu.Imeisha hiyo automatic Membe is out of the game kimbinu.
Lissu shikilia hapo hapo mpaka mtu ajinyee
Fanyeni huo upumbafu mwaka huu muone .JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais...
Ila ukumbuke pia hao unaowataja walitokea chama kipi ? ndipo utakapopata jibu uchaguzi huu nitofauti na chaguzi zote,na pia hatutakiwi kuishi kwa mazoeaJP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.
Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!
Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
Kwa hiyo mwenyekiti wako anatumia wasanii,ana ahidi kinyume na maadili ya uchaguzi,anakaribisha kina Mu7 na raisi wa Burundi.Kumbe anashindana na futuhi?Acha kumkosea Basi mwenyekiti wako!Upinzani ulishakufa tangu 2015 kililichobaki ni futuhi.