Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalum Seif hatopewa urais.

Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!

Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
Inawezekana uko sahihi 99%. Je wananchi wa sasa ni wale wa bora amani ya uwoga huku watu wakinyimwa haki zao na wengine wakipotezwa kwa kuonesha misimamo ya wazi dhidi ya mtawala?
 
Dah yaani kimchezomchezo tu CCM inaenda kuachia madaraka.

Ngwe hii ya pili tutashuhudia mengi. CHADEMA ikijihakikishia kura za kutosha za waislamu, huu mchezo umekwisha. Hapo bado jeshi la wanawake halijaachiwa lianze mashambulizi yake!
 
Hivi mna habari kwamba jina lake bado litakuwepo kwenye orodha ya wagombea?

Hata kama amejiondoa kimya kimya, bado kuna watu watampigia kura, labda aje sasa hadharani atamke kuwa amejitoa, vinginevyo kuna kura ataharibu
 
JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.

Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!

Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
Ila ukumbuke pia hao unaowataja walitokea chama kipi ? ndipo utakapopata jibu uchaguzi huu nitofauti na chaguzi zote,na pia hatutakiwi kuishi kwa mazoea
 
Back
Top Bottom